mtanzania in exile
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 1,379
- 1,276
ubunge, pata miaka yako mitano na uko sorted for the rest of your life!Ni kazi zipi zina mishahara mikubwa hapa Tanzania?
Utumwa unafanya bureKuna tofauti gani kati ya Uchawa na Utumwa ?
Hutaki niwe chawa wako ?Utumwa unafanya bure
Uchawa unalipwa
Pesa za kukulipa ndio mtihani πHutaki niwe chawa wako ?
HahahahahaaPesa za kukulipa ndio mtihani π
Hapana aisee, ingekuwa hivyo wagekuwa hawagombei tena kutafuta kipindi cha pili,wale 19 wa Chadema wasingesaliti viongozi wao,maana.wote walishawahi kuwa wabunge. Zile hela sijui zina laana,mbunge akimaliza mitano na asipochaguliwa tena huwa wanafulia sana.Ub
ubunge, pata miaka yako mitano na uko sorted for the rest of your life!
wanaendekeza starehe.... hela ikiongezeka na lifestyle nayo inakua ya kifahari zaidiHapana aisee, ingekuwa hivyo wagekuwa hawagombei tena kutafuta kipindi cha pili,wale 19 wa Chadema wasingesaliti viongozi wao,maana.wote walishawahi kuwa wabunge. Zile hela sijui zina laana,mbunge akimaliza mitano na asipochaguliwa tena huwa wanafulia sana.
Hahaha..I like the way you respondedAisee alafu wee sio wa kwanza kusema hivyo hapa jf. I think u guys have noticed something. Itabidi nijichunguze kwa undani. Thanks for the observation. Nitalifanyia kazi
Marahaba Wanee πππSijambo Mazziyah wanee π€£π€£
Shikamoo
Naona umemtafsiria mjomba ake na Issa mshamba_hachekwiMarahaba Wanee πππ
It sounds Manyanza and Mazziyah ni same thing
Manyanza ni maji na Mazziyah ni maji pia
tulia upigwe mavocal usinihusishe mimi πNaona umemtafsiria mjomba ake na Issa mshamba_hachekwi
Hapa tunakuja kutoa stress sio kutafuta stress zingineHahaha..I like the way you responded
wadangaji wa hadhi ya juu(premium escorts) wanapiga hela sana na kazi yao ni kugawa tu matobo