Tanwise
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 466
- 1,033
Kumekuwa na kero mbalimbali maeneo tunayoishi zikifanywa na watu iwe kwa makusudi au kwakutokujua..Hii fursa yako kutoa dukuduku lako kwa walengwa watakao soma Uzi huu ili wajue kuna watu wanakereka.
1) unakuta MTU kalewa alafu anatoa maneno machafu njia nzima.
Karibuni wadau
1) unakuta MTU kalewa alafu anatoa maneno machafu njia nzima.
Karibuni wadau