Ni kiasi gani ambacho MTU ukiwa na uhakika wa kuingiza kwa siku unaweza kuhesabika kama wewe ni Tajiri?

Ni kiasi gani ambacho MTU ukiwa na uhakika wa kuingiza kwa siku unaweza kuhesabika kama wewe ni Tajiri?

Biashara gani unaifanya ndugu!? Naona ni miongoni mwa watu wenye bahati na tajir.
Hongera sn, kama inawezekana naomba a.b,c nami nitumie huenda nikatoka kwenye kipato cha 10000 per day nikaingia japo 30000 nitakua nimetoboa sana maisha.
mkuu wengi hudania hivyo ila maisha ninayo magum sana
 
100m? dah najiona hamna kitu nafanya kwenye haya maisha.
 
Nina Kampuni ya Bima Africa mashariki na kati!! nina ndege za kukodi saba!! Kampuni ya kutengeneza madawa ya Mifugo na mbolea!! nina mashamba ekari 40 hapo mjini kisumu na 10 zingine Morogoro, kanisa moja SA, lakini najiona kama nitafilisika Kesho.

Kifupi hizi ndege nilizo nazo hazinitoshi!! nina mpango wa kufungua kiwanda kingine cha Maziwa mjini Australia jamani hata sijui tajiri ni nani halafu nikiwa kwenye Hafla Tanzania wananiona mie tajiri sana!! mpaka inabidi niwakwepe!!

watu wakiniona kwa mbali wanapisha kuleee! wengine wananitandikia kanga nipite juu mpaka sasa naogopa kukutana na watu wanaonijua mitaa yangu!! kwa sasa ni Ulaya kwa sana!! na sehemu nisizo fahamika lkn

kwetu bongo staki kwa kuwa watu wananitenga mnoo!! ajili ya vijicent nilivyo navyo!...wengine wakiniona niko mahali wanalia tuuuuu!!...wananipigia magoti mpaka naona kero!! Mtaani kwangu watu msururu wanaomba hela na misaada ya kila aina na ushauri.


nimeweka wasaidizi ishirini na saba lkn wapi wanawakwepa wanakuja kwangu kadri navo wapa ndo wanakuja kwa wingi. na wengine wanaomba niwape Mkono wangu tu Baaasi!! nikienda kanisani basi siku hiyo lazima kanisa lijae na sadaka kwa wingi!

Nikienda kutizama kandanda basi jua ni deal kubwa lazima uwanja ufurike hadi wakose pa kukaa! ...mweee!! sasa nimeamua kukaa tu huku majuu wanisahau!! ......lkn nikienda kwa misiba maweee!!! yaani watajaa kuanzia air port mpaka kijijini!

wananipisha barabarani......na nikitembea kwa miguuu sasa ndo shida zaidi bora nijifiche kwenye ndinga na hata nikipanga safari kwenda home umati unakusanyoka uwanjani kunilaki nimevumilia weee!! sasa naona keroo!! watu hawafanyi kazi!! wao wanatamani kuniona tuuu!

ndo maana hasa ya kufungua makampuni yangu nje ya nchi huku bana afadhali kidogo wananiona wa kawaida sana naweza hata wenda Bar nikala na kunywa!...lkn huko nyumbani mweeee!! siji kwakweli yaani ni sheda.....

Mkuu wa Mkoa huyu cha pombee!! huyu!!! ..... anaitwa nani sijui yule dogo.......mmmm!! .........Malima!!! ... ewaaa.....!!! malima yessss!!...ilikuwa karibu wamuue kwa kuzuia msafara wangu kwenda kijijini!!!

Niliwahi jificha Morogoro/mbeya/Mtwara lkn ilichukua muda mfupi sana watu kunijua kwa marefu na mapana......nilicho gundua ni utoaji na kdri navo toa kwa Maskini ndo napata zaidi na zaidi!!....Safari za jiwe nimegharamia mie binafsi!

Membe ananijua vyema kwa sababu nilimshauri afungue Hotel kubwa Mtwara ambayo inakimbiza mpaka kesho!....Shamba langu la kahawa hekari kumi lilishika moto!! wananchi wakazima bure na mpaka sasa wao ndo hulilinda shamba hilo!! jamani mweeee!

katika hayo yooote watu ndo huniambia mie ni tajiri lkn mimi waala sioni!! nacho kifanya sasa wote waliokaribu yangu nawapa mitaji na mitaji....sasa hwa ndo wamekuwa km wamenizunguka flani hivi! km walinzi wa mali zangu!

Humu JF nimewasaidia watu wengi sana na ni matajiri wa kufa mtu!...na wengine wamesha hama nakuhama humu tena!!...akiwemo Max!! mafanikio yake ni mie!! ....msikilizeni atawashauri vizuri!! amenambia ni sawa tu kwa lengo la kuwaelimisha na nyie!!
 
ukiwa tajiri haimaanish ndo unafuraha zaid
Si wote tuko ivo!!!

hayo ya kukosa furaha yatakuandama ikiwa tu kama umedhurumu, Mchawi! ndago, utajiri/Masharti, Jambazi, Korofi km jiwe, Mlevi, Muuaji km jiwe! mchawi mwenye upendeleo km jiwe, Jeuri, Dharau kwa wasio nacho, hutoi kwa Mungu wa kweli acha mungu mzungu!!

unasaidia watu , dhurumati km jiwe!! na ukidhurumu haki za watu hovyo!! hovyo bila huruma then unapendelea hawa wa kundi B'' maksudi!!..hata hao unao wapendelea watakuchukia Sana hutaamini macho yako....

hili la upendeleo wa siri hata ukilifanya kwa siri ipi..... ajabu ya MUngu sasa watu wa level zote huwa wanajua tu! ivo kukuchukia mnoo!! tena hasaaa!! sasa ndo ujue watu bana ni Miungu!

wanachato 60% hawakupenda vitendo vya Jiwe kuwapendelea wao pekee tena waziwazi! wkti wilaya nyingine zinahangaika hata maji ya kunywa hawana!...usiseme eti walimwogopa ndo kariba ya mwana damu! ilivyo!

Ukiwapendela watu kwa haki kabisa kutoka moyoni mwako! bila matabaka... hata bila kutamka watu watalijua hilo kutoka myoyoni mwao!! na watakuunga mkono na utapendwa sana!! hili nilijifunza kutoka kwa Nyerere!! Mwitongo!

unakula nao!! unalia nao panapo maatizo, unakaa na wazee/vijana/watoto, unaheshima kwa wasio nacho! Wamama unapiga nao bega kwa bega siyo Malaya, viwete unawasaidia bila upendeleo!.....anza na maskini zaidi!

Jua kabisa .hao hao ni miungu wameumbwa kwa mfano wa Mungu watakupa Furaha isiyo kifani mpaka uzikimbie kwa Mshangao! kwa kuwa utakuwa una shirikiana na miungu na wale watakao taka kukudhuru habari zitakufikia mapemaaa!!

Hao hao maskini watakupa njia ya kuikwepa hatari!! japo inaweza toka miongoni mwao!! wao wataikabiri hatari hiyo!! sometimes hata kiasi cha wao kupoteza maisha na mpaka uwe hivo tajiri wa level hiyo! unapaswa kuwa na Mungu wa kweli kwanza! na tupo wa ivo!
 
Nina Kampuni ya Bima Africa mashariki na kati!! nina ndege za kukodi saba!! Kampuni ya kutengeneza madawa ya Mifugo na mbolea!! nina mashamba ekari 40 hapo mjini kisumu na 10 zingine Morogoro, kanisa moja SA, lakini najiona kama nitafilisika Kesho.

Kifupi hizi ndege nilizo nazo hazinitoshi!! nina mpango wa kufungua kiwanda kingine cha Maziwa mjini Australia jamani hata sijui tajiri ni nani halafu nikiwa kwenye Hafla Tanzania wananiona mie tajiri sana!! mpaka inabidi niwakwepe!!

watu wakiniona kwa mbali wanapisha kuleee! wengine wananitandikia kanga nipite juu mpaka sasa naogopa kukutana na watu wanaonijua mitaa yangu!! kwa sasa ni Ulaya kwa sana!! na sehemu nisizo fahamika lkn

kwetu bongo staki kwa kuwa watu wananitenga mnoo!! ajili ya vijicent nilivyo navyo!...wengine wakiniona niko mahali wanalia tuuuuu!!...wananipigia magoti mpaka naona kero!! Mtaani kwangu watu msururu wanaomba hela na misaada ya kila aina na ushauri.


nimeweka wasaidizi ishirini na saba lkn wapi wanawakwepa wanakuja kwangu kadri navo wapa ndo wanakuja kwa wingi. na wengine wanaomba niwape Mkono wangu tu Baaasi!! nikienda kanisani basi siku hiyo lazima kanisa lijae na sadaka kwa wingi!

Nikienda kutizama kandanda basi jua ni deal kubwa lazima uwanja ufurike hadi wakose pa kukaa! ...mweee!! sasa nimeamua kukaa tu huku majuu wanisahau!! ......lkn nikienda kwa misiba maweee!!! yaani watajaa kuanzia air port mpaka kijijini!

wananipisha barabarani......na nikitembea kwa miguuu sasa ndo shida zaidi bora nijifiche kwenye ndinga na hata nikipanga safari kwenda home umati unakusanyoka uwanjani kunilaki nimevumilia weee!! sasa naona keroo!! watu hawafanyi kazi!! wao wanatamani kuniona tuuu!

ndo maana hasa ya kufungua makampuni yangu nje ya nchi huku bana afadhali kidogo wananiona wa kawaida sana naweza hata wenda Bar nikala na kunywa!...lkn huko nyumbani mweeee!! siji kwakweli yaani ni sheda.....

Mkuu wa Mkoa huyu cha pombee!! huyu!!! ..... anaitwa nani sijui yule dogo.......mmmm!! .........Malima!!! ... ewaaa.....!!! malima yessss!!...ilikuwa karibu wamuue kwa kuzuia msafara wangu kwenda kijijini!!!

Niliwahi jificha Morogoro/mbeya/Mtwara lkn ilichukua muda mfupi sana watu kunijua kwa marefu na mapana......nilicho gundua ni utoaji na kdri navo toa kwa Maskini ndo napata zaidi na zaidi!!....Safari za jiwe nimegharamia mie binafsi!

Membe ananijua vyema kwa sababu nilimshauri afungue Hotel kubwa Mtwara ambayo inakimbiza mpaka kesho!....Shamba langu la kahawa hekari kumi lilishika moto!! wananchi wakazima bure na mpaka sasa wao ndo hulilinda shamba hilo!! jamani mweeee!

katika hayo yooote watu ndo huniambia mie ni tajiri lkn mimi waala sioni!! nacho kifanya sasa wote waliokaribu yangu nawapa mitaji na mitaji....sasa hwa ndo wamekuwa km wamenizunguka flani hivi! km walinzi wa mali zangu!

Humu JF nimewasaidia watu wengi sana na ni matajiri wa kufa mtu!...na wengine wamesha hama nakuhama humu tena!!...akiwemo Max!! mafanikio yake ni mie!! ....msikilizeni atawashauri vizuri!! amenambia ni sawa tu kwa lengo la kuwaelimisha na nyie!!
Ahsante mkuu maana utanupunguzia mzigo wa Pm ila usiwaingize watoto wawatu mkenge maana hapa inaonekana kabisa kuna kitu unakitafta
 
Ahsante mkuu maana utanupunguzia mzigo wa Pm ila usiwaingize watoto wawatu mkenge maana hapa inaonekana kabisa kuna kitu unakitafta
Labda hujanielewa mbona wengine wamenielewa??? .. Sasa Mkuu maskini atakupa nini zaidi ya kumsaidia shida zake??? akiwa mbishi na nyodo nyingi ndo hatakuona kamwe!!....achilia mbali kukusikia!
 
Poor, middle class na Rich people

Wanatofautishwa na kiasi cha Assets/Liabilities walizonazo

Issue sio kuingiza pesa, ila pesa zako zipo ktk uelekeo upi/mtiririko upi

Kuingiza pesa pekee haitoshi, unafanya nn ili pesa hizo zikuzalishie zaidi(Mtiririko)

Waweza kua na matumizi=Na kipato(Utapiga round about sana)-

Kipato<Mahitaji(Umaskini wa kudumu)

Kipato>Matumizi(Utajiri unanukia)

Jpo, kipato kikiwa kikubwa pia yapaswa uwe na vyanzo endelevu vya kuzidi kukuingizia pesa(Assets)
 
Back
Top Bottom