Ni kiasi gani hutolewa na CAF kwa vilabu vitakavyofuzu hatua ya makundi shirikisho?

Drydon

Senior Member
Joined
Mar 11, 2019
Posts
125
Reaction score
191
Ningependa kufahamu je!? ni kiasi gani hupatiwa kwa vilabu vitakavyofuzu hatua ya makundi upande wa shirikisho Africa.

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Naona na TFF wana kapasent kao
5% kama sikosei, sio mbaya. Sasa wao ndio ilibidi wapambane walau hizi timu zetu 2 ziwe zinafika makundi. Mmoja akitoboa si haba wanapata chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…