stritglow
JF-Expert Member
- Apr 7, 2018
- 622
- 1,750
Haijalishi ni ndugu, rafiki, jirani nk lazima kila mtu alishawaiombwa hela na mmoja kati ya hao watu.Hilo ni jambo la kawaida. Kuna mwingine anaweza kukuomba umkopeshe kiasi kidogo, ambacho unaweza hata hujifikirii mara mbili kumpa, ila kuna mwingine anaweza kukujia na request ya kukuomba hela ndefu ambayo inaweza ikawa hata juu ya uwezo wako au ambayo usiwe comfortable kumpa.
So kama mada inavyosema ni kiasi gani kikubwa cha fedha mtu alikuomba umkope? je ulimpa? na kama ulimpa, je alirudisha hiyo hela?
So kama mada inavyosema ni kiasi gani kikubwa cha fedha mtu alikuomba umkope? je ulimpa? na kama ulimpa, je alirudisha hiyo hela?