Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
- Thread starter
- #21
Si nikutumie nauli uje tukae kae huku kiasi?Huko kwenu Rahaš
Umeona eeh...huyu atakua mkimbizi huyu
Shida yenu wabongo huwa mnadhani wakenya hatujui kiswahili,tunaweza tukawa hatukijui vizuri Kama nyie huko Tz Ila tunakimudu angalau.Umeona eeh...huyu atakua mkimbizi huyu
Ningeandika kiingereza huu Uzi usingetembeaš,mngeuepuka Kama upele,k'o nimeona niuwasilishe hata Kama Ni kwa kiswahili Cha Kenya angalau ueleweke.