Ni kiasi gani kikubwa Cha pesa ulichowahi kuokota?

Ni kiasi gani kikubwa Cha pesa ulichowahi kuokota?

Huko kwenu Raha😃
Si nikutumie nauli uje tukae kae huku kiasi?
Umeona eeh...huyu atakua mkimbizi huyu
Umeona eeh...huyu atakua mkimbizi huyu
Shida yenu wabongo huwa mnadhani wakenya hatujui kiswahili,tunaweza tukawa hatukijui vizuri Kama nyie huko Tz Ila tunakimudu angalau.

Ningeandika kiingereza huu Uzi usingetembeašŸ˜‚,mngeuepuka Kama upele,k'o nimeona niuwasilishe hata Kama Ni kwa kiswahili Cha Kenya angalau ueleweke.
 
Si nikutumie nauli uje tukae kae huku kiasi?


Shida yenu wabongo huwa mnadhani wakenya hatujui kiswahili,tunaweza tukawa hatukijui vizuri Kama nyie huko Tz Ila tunakimudu angalau.

Ningeandika kiingereza huu Uzi usingetembeašŸ˜‚,mngeuepuka Kama upele,k'o nimeona niuwasilishe hata Kama Ni kwa kiswahili Cha Kenya angalau ueleweke.
Kwa hyo ww ndo mkenya?....haya nmekuelewa mkuu
 
Back
Top Bottom