Hatuwezi kuwaita waliotumika chini ya mkoloni mashujaa bila kuwaita wakoloni wenyewe mashujaa.
Mnatuchanganya?
Yapo mambo mengi mmeyaficha katika historia, hamuwaambii wananchi kuwa wapo ndugu zetu walihusika katika biashara ya watumwa kwa kuwakata ndugu zao na kuwauza kwa wageni.
Wakati mababu zetu wanateswa na wakoloni, wapo ndugu zetu waliokuwa wamekaa upande wa wakoloni wakiwatesa ndugu zetu.
Hatuwezi leo hii kulaani ukoloni huku tukiwatukuza waliokuwa wakifanya kazi chini ya wakoloni.
Ninachojua mimi, Tanganyika wala Zanzibari hazikupigana katika vita kuu ya dunia bali wapo watu waliochukuliwa kwenda kupigania wakoloni katika vita hivyo.
Hivyo kama taifa hatuna shujaa yeyote aliyepigana vita kuu ya dunia kama hatukushiriki katika vita hivyo.
Mnatuchanganya?
Yapo mambo mengi mmeyaficha katika historia, hamuwaambii wananchi kuwa wapo ndugu zetu walihusika katika biashara ya watumwa kwa kuwakata ndugu zao na kuwauza kwa wageni.
Wakati mababu zetu wanateswa na wakoloni, wapo ndugu zetu waliokuwa wamekaa upande wa wakoloni wakiwatesa ndugu zetu.
Hatuwezi leo hii kulaani ukoloni huku tukiwatukuza waliokuwa wakifanya kazi chini ya wakoloni.
Ninachojua mimi, Tanganyika wala Zanzibari hazikupigana katika vita kuu ya dunia bali wapo watu waliochukuliwa kwenda kupigania wakoloni katika vita hivyo.
Hivyo kama taifa hatuna shujaa yeyote aliyepigana vita kuu ya dunia kama hatukushiriki katika vita hivyo.