Kaka unauliza jibu? Ulisha ona mapesonal sekretari wa vigogo wengi sura zao? Sura ndio housing ya simu,hata kama betri mbovu kama housing ikopoa, simu itanunuliwa fasta. Tizama watangazaji wengi wa Tv, utaona ni wale wenye sura njema,akina Wema Sepetu sura imembeba pale East African Tv, wala sio shule kwani anashahada ngapi za mass com? Sura ndio kila kitu kwa mtoto wa kike cha pili ni kalio. Akikosa sura awe na kalio la maana. Pia shule inamsaidia kumuexpose kwa vigogo, awe na kashule ka uongo na kweli, sura njema na kalio la kumwaga, kazi anapata hata TRA. Hata mimi namuajiri wa hivyo, namtimua mdada yeyote ambae sura na shape yake havieleweki, wapi kiuno wapi kalio.