kazuramimba
Senior Member
- Jun 14, 2011
- 126
- 57
Naomben msaada wale wapumbavu wanaoendekeza mizaha naomba msichangie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kunywa maji mengi sana na mapapai kulainisha choo mkuu..
Habari Ruttashobolwa? Mkuu.@kazuramimba hiyo sio Manii hiyo ni Madhii ni ute unao fanana na Manii lakini sio manii. Manii ni ileHapa ngoja nimuite Mzizi mkavu
ugwadu unakusumbua,piga hata punyeto mkuu,acha udomo zegeNaomben msaada wale wapumbavu wanaoendekeza mizaha naomba msichangie.
Mkuu Mama Mdogo jamaa angalisema anapo kojoa anaona kitu cheupe kinatoka na uume wake unauma kisha ndio anatoa mkojoHiyo hatuwezi sema ni wet dream, maana inatokea ukiwa macho meupe huko msalani. Ninahofu hizo siyo manii, ni usaha, umeambukizwa magonjwa ya ngono, na yamefikia chronic stage. Kimbia hospitali pamoja na mwenzi / wenzi wako mukapate huduma. Please!!!