Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Ndio maana kuna dozi ya mtoto na ya mtu mzima.Unafikiri watoto wadogo ni sawa na watu wazima!! ?
Well saidKwa kawaida mtoto hawezi kuwa Analia tuu bila sababu, tafuta daktari mzuri bingwa wa watoto ama nursing officer wa muda mrefu wasilisha tatizo lako watakusaidia. Acha kabisa wazo la kuwapa kilevi. Utakapowazoesha kilevi utakuja jutia maisha yako yote yaliyobaki. Unapoona watu wazima wanatembea barabarani tambua kuwa wazazi wao walifanya kazi ya ziada hadi kutimiza umri huo.
ACHA UKICHAA.ACHA UPOTOSHAJI.
Vilevi vipo vingi tu wape K can't, konyagi hata bia, watalala hadi utafurahi mwenyeweHabari wadau! naombeni ushauri juu ya kilevi kisichokua na madhara kwa watoto chini ya mwaka mmoja!
Niko na watoto twins wamezaliwa january ila ni wakorofi kweli kweli, hawapendi kulala, hawapendi kukaa kimya mda mwingi ni kulia tu bil sababu
Nalala sa 6 usiku kila siku na kuamka ni sa11,, siku wakiamua wanatoboa hadi alfajiri hakuna kulala!
Nmechoka sana, macho yangu ni mekundu ka mwanga sababu ya usingizi,, nmechoka mda wote na mke wangu ndo usiseme!
Nmewaza nianze kuwapa kilevi ili atleast wawe wanalala usiku nasi tulale,, ushauri ni kilevi gan kinaweza kuwa hakina madhara kwao niwe nawapa walale dah!
Povu ruksa ila matusi hapana! karibuni kwa ushauri
Watoto wa kiume huwa hawapendi kulala sana nazani ni kawaida yaoSio uvivu mkuu ni katika kutaka kuupa mwili na ubongo afya yake
Pole mkuu hzo ndo changamoto za ulezi na wazazi wetu walituvumilia hebu ulizeni huko kwenye familia yenu kulikuwa na hyo behavior, mi mwenyewe nikiwa mtoto nilikuwa kilizi ili nilikuja kuacha nikiwa msingi, so nendeni mkawacheck na afyaSio kwa hawa mkuu, hawa hawakosi sababu ya kulia hata uwaogeshe mda huo na kuwapa menyu wakashiba, watalia na hawatalala na wakilala haipiti nusu saa kwa mchana
Habari wadau! naombeni ushauri juu ya kilevi kisichokua na madhara kwa watoto chini ya mwaka mmoja!
Niko na watoto twins wamezaliwa january ila ni wakorofi kweli kweli, hawapendi kulala, hawapendi kukaa kimya mda mwingi ni kulia tu bil sababu
Nalala sa 6 usiku kila siku na kuamka ni sa11,, siku wakiamua wanatoboa hadi alfajiri hakuna kulala!
Nmechoka sana, macho yangu ni mekundu ka mwanga sababu ya usingizi,, nmechoka mda wote na mke wangu ndo usiseme!
Nmewaza nianze kuwapa kilevi ili atleast wawe wanalala usiku nasi tulale,, ushauri ni kilevi gan kinaweza kuwa hakina madhara kwao niwe nawapa walale dah!
Povu ruksa ila matusi hapana! karibuni kwa ushauri
Sasa unashauri awape dawa, kwani amekwambia wanaumwa!?Ndio maana kuna dozi ya mtoto na ya mtu mzima.
Ahsante mkuuMkuu nakushauri uendelee kuteseka hivyo hivyo kuna muda hayo yote yatapita. Ndio changamoto ya kulea.
Sikushauri utumie kilevia au medication yoyote kwaajili ya usingizi wa wanao (hasa hasa valium). Usisikilize ushauri wa wajinga.
Jitahidi mchana wape michezo mingi wacheze wachoke usiku inakuwa sio kazi kulala.
Hahahaaa, sawa!Pole mkuu hzo ndo changamoto za ulezi na wazazi wetu walituvumilia hebu ulizeni huko kwenye familia yenu kulikuwa na hyo behavior, mi mwenyewe nikiwa mtoto nilikuwa kilizi ili nilikuja kuacha nikiwa msingi, so nendeni mkawacheck na afya