Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Mkuu nakushauri uendelee kuteseka hivyo hivyo kuna muda hayo yote yatapita. Ndio changamoto ya kulea.
Sikushauri utumie kilevia au medication yoyote kwaajili ya usingizi wa wanao (hasa hasa valium). Usisikilize ushauri wa wajinga.
Jitahidi mchana wape michezo mingi wacheze wachoke usiku inakuwa sio kazi kulala.
Sikushauri utumie kilevia au medication yoyote kwaajili ya usingizi wa wanao (hasa hasa valium). Usisikilize ushauri wa wajinga.
Jitahidi mchana wape michezo mingi wacheze wachoke usiku inakuwa sio kazi kulala.