Ni kilevi kipi kisichokuwa na madhara kwa watoto wa chini ya mwaka mmoja?

Ni kilevi kipi kisichokuwa na madhara kwa watoto wa chini ya mwaka mmoja?

Mugare

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2016
Posts
669
Reaction score
846
Habari wadau! naombeni ushauri juu ya kilevi kisichokua na madhara kwa watoto chini ya mwaka mmoja!

Niko na watoto twins wamezaliwa january ila ni wakorofi kweli kweli, hawapendi kulala, hawapendi kukaa kimya mda mwingi ni kulia tu bil sababu

Nalala sa 6 usiku kila siku na kuamka ni sa11,, siku wakiamua wanatoboa hadi alfajiri hakuna kulala!

Nmechoka sana, macho yangu ni mekundu ka mwanga sababu ya usingizi,, nmechoka mda wote na mke wangu ndo usiseme!

Nmewaza nianze kuwapa kilevi ili atleast wawe wanalala usiku nasi tulale,, ushauri ni kilevi gan kinaweza kuwa hakina madhara kwao niwe nawapa walale dah!

Povu ruksa ila matusi hapana! karibuni kwa ushauri
 
Mimi mdogo wangu alikuwa na tabia hizo kipindi mdogo Mzee wangu akampa Konyagi hadi sasa yuko safiiii.

Jaribu konyagi mkuu.
 
Habari wadau! naombeni ushauri juu ya kilevi kisichokua na madhara kwa watoto chini ya mwaka mmoja!

Niko na watoto twins wamezaliwa january ila ni wakorofi kweli kweli, hawapendi kulala, hawapendi kukaa kimya mda mwingi ni kulia tu bil sababu

Nalala sa 6 usiku kila siku na kuamka ni sa11,, siku wakiamua wanatoboa hadi alfajiri hakuna kulala!

Nmechoka sana, macho yangu ni mekundu ka mwanga sababu ya usingizi,, nmechoka mda wote na mke wangu ndo usiseme!

Nmewaza nianze kuwapa kilevi ili atleast wawe wanalala usiku nasi tulale,, ushauri ni kilevi gan kinaweza kuwa hakina madhara kwao niwe nawapa walale dah!

Povu ruksa ila matusi hapana! karibuni kwa ushauri
Mkuu acha uvivu, aliyekwambia kwamba malez ni lele mama ni nani!?

Hizo dawa unazotaka kuwapa fahamu zitawaaribu akili mwishowe waje kuwa vilaza darasani kama si mateja.
 
Mkuu acha uvivu, aliyekwambia kwamba malez ni lele mama ni nani!?

Hizo dawa unazotaka kuwapa fahamu zitawaaribu akili mwishowe waje kuwa vilaza darasani kama si mateja.
Sio uvivu mkuu ni katika kutaka kuupa mwili na ubongo afya yake
 
KILEVI CHA WATOTO NI KIDONGE KIMOJA/NUSU KIDOGNE CHA VALLLIUM...ATALALA HADI KESHO...HAKIKISHA AMEKULA ASIJE KUFA USINGIZINI KWA NJAA MAANA TUMBO HALINA AKILI.
 
Ukiona mtoto analia lia jua kuna hitaji lake hajatimiziwa.
Sio kwa hawa mkuu, hawa hawakosi sababu ya kulia hata uwaogeshe mda huo na kuwapa menyu wakashiba, watalia na hawatalala na wakilala haipiti nusu saa kwa mchana
 
KILEVI CHA WATOTO NI KIDONGE KIMOJA/NUSU KIDOGNE CHA VALLLIUM...ATALALA HADI KESHO...HAKIKISHA AMEKULA ASIJE KUFA USINGIZINI KWA NJAA MAANA TUMBO HALINA AKILI.
Duh, vallium mkuu nahisi ni kali sana, nahofia kuwapoteza wanangu!
 
aroo uku ni kukimbia majukumu,utumiaji wa dawa za usingizi(pia dawa zozote) kunasababisha madhara endelevu tena mabaya sana epuka kuwapa watoto chochote kitakacho"force" mfumo wao wa kawaida wa kimaumbile(bila "approved" na mkemia) ni hatari sana,cha ajabu wengi wetu nao tunashauri tu aina za vilevi na dawa kwa hao tuins bila kuangalia matokeo yake..kikubwa paambana na majukumu ndio malezi hayo...kuitwa mzazi si mchezo,wazazi wetu wangefanya hivyo tusingefika hapa
 
Habari wadau! naombeni ushauri juu ya kilevi kisichokua na madhara kwa watoto chini ya mwaka mmoja!

Niko na watoto twins wamezaliwa january ila ni wakorofi kweli kweli, hawapendi kulala, hawapendi kukaa kimya mda mwingi ni kulia tu bil sababu

Nalala sa 6 usiku kila siku na kuamka ni sa11,, siku wakiamua wanatoboa hadi alfajiri hakuna kulala!

Nmechoka sana, macho yangu ni mekundu ka mwanga sababu ya usingizi,, nmechoka mda wote na mke wangu ndo usiseme!

Nmewaza nianze kuwapa kilevi ili atleast wawe wanalala usiku nasi tulale,, ushauri ni kilevi gan kinaweza kuwa hakina madhara kwao niwe nawapa walale dah!

Povu ruksa ila matusi hapana! karibuni kwa ushauri
Kwa kawaida mtoto hawezi kuwa Analia tuu bila sababu, tafuta daktari mzuri bingwa wa watoto ama nursing officer wa muda mrefu wasilisha tatizo lako watakusaidia. Acha kabisa wazo la kuwapa kilevi. Utakapowazoesha kilevi utakuja jutia maisha yako yote yaliyobaki. Unapoona watu wazima wanatembea barabarani tambua kuwa wazazi wao walifanya kazi ya ziada hadi kutimiza umri huo.
 
Back
Top Bottom