Ni kinywaji gani unapenda kutumia utokapo na marafiki?

Sitaki uwe wa pombe kali ,sitaki uwe wakulewa , sitaki uwe wakuongea usichokielewa ,sitaki uwe wakutembea unayeyumba,sitaki uwe wakutumia pombe km sehem yakuondoa mawazo.

Mimi mtaalamu wako nakuambia Pombe nipombe , nakuitaji tuzeeke wote babykins wangu
 
***** wallah maisha haya matamu kisenge aisee
 
[emoji23][emoji23] umejua nichekesha
 
Nilikutana na msela kitaa, alikuwa child hood friend wakati huo walikuwa na baiskeli watoto wa ushuani, mchizi ameshindwa kusoma, bangi aliianza boarding school.
Tumekutana katikati ya jiji, nikamwambia twende tukale, nilijua pesa mkononi atanunulia bangi.
Waiter aliuliza mnakunywa nini, jamaa alimjibu mimi maji tu mshirika starehe yangu bangi .
Nilichoka.
 
Kweli kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…