Ni kipi angekifanya shujaa wa Chato kwenye vita ya Ukraine

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
Kama wote tujuavyo mwanachato alikuwa mtu wa kujilipua kuongea chochote bila kuhofia madhara yatakayomkuta kwa kufanya hivyo

Mfano mzuri ni pale alipoamua kujilipua na kuyapima virusi vya korona mapapai,mbuzi na oil,pia alipoamua kuzipondea hadharani barakoa za wazungu na badala yake kuwataka watanzania washone za kwao hata kwa kutumia sidiria

Sasa kwa hii vita ya Urusi dhidi ya Ukraine je mpaka sasa angekuwa hajatamka maneno ambayo yangemfanya kumulikwa na magazeti ya Dunia nzima kama ilivyokuwa kipindi kila cha korona
 
Asingekuwa na cha kufanya kwa sababu haimuhusu. Labda toa mfano kama alivyofanya nani/kiongozi gani?
 
Mambo mengine mhhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…