Dadykiller
Senior Member
- Apr 24, 2024
- 198
- 347
😂😂mkuu hamna muendelezo?nmechela sanaa walah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona dalili za chapat za yesuDecember naenda ukweni 🤣
Saivi najifunza kupika chapati..
Nsije nkahadhirika Bure..🤣🤣
Naona dalili za chapat za yesu
Ila we jamaa🤣🤣🤣🤣I'll never forget such kind of moment in my life. Ile wamepika matoke wakayachanganya na maharage, plus matumbo ya ng'ombe, karanga za kusiginwa plus karanga za kutafunwa, humo humo mfuru, kha! Ile siku nilitembea kama naruka majoka vile kuelekea toy kujiharishia, tena mbele ya mama mkwe na madada wa muke wangu
Choo kilikuwa na katundu ka kuchungulia nje ukiwa umechutama, nikitamani waondoke nianze yangu, lakini ndo kwanza wako kwenye kijikeka mbele ya choo. Ile kuchutama tu, walisikia Buuuuuuuum Bhaaaaa Pah! Kila mmoja wao alikuwa mbele ya tukio alikimbia kama mchwa kichaa, mama mkwe alikimbia akiwa ameweka mikono kichwani huku akiuficha mbichwa, wakina dada walikimbia huku wameziba midomo yao ili kuizuia cheko, mke wangu pekee ndiye aliyebaki eneo la tukio akivumilia hali ile ya milipuko ya mabomu ya Mbagala kwa huruma nyingi mno
Nilivyotoka tu chooni, niliwasha bolt nikaondoka zangu, mke wangu alinifuata akiwa na virago vyetu. Huo ndo ulikuwa mwisho wa kutembelea ukweni
Mola awabariki sana wake zetu
Ila mtoto wa mama mkwe atakuja kuua jitu humu ndani
Nakula nashiba, unadhani hiki chakula jasho lake litatokaje?Unapenda haya mambo ya kubandua Gogo?
Mimi Kwa wakwe naenda saa 12 jion.naondoka saa 2:00 usiku. Sipendi ujinga,, ikija kutokea nimelala Kwa mkwe ujue Kuna MSIBA wa mtu wa ndani sanaWe acha tu mkuu, ule mtawanyiko ulikuwa balaa sana, yaani mpaka nikahisi wako wanajaribu kuassume wembamba nilionao na m-bomu nilioutawanya pale
Itabidi na Mimi nikubandue basi ili Chakula kitoke vizuri kwa hilo JashoNakula nashiba, unadhani hiki chakula jasho lake litatokaje?
Mwendelezo mkuu ikawaje?Nilimuomba namba mshangazi baa ya jirani ,kurudi jioni nkatambulishwa ni mama yake mdogo na wife
Hapo hujauona Mkono wake Bwana unashangaa ukiuona si utazima?Nakushangaa wewe...
Shindwa pepo.Hapo hujauona Mkono wake Bwana unashangaa ukiuona si utazima?
😂😂Ahaa! Kwamba mikate isiyotiwa chachu, mikate ya YudaNaona dalili za chapat za yesu
Ahahah kabiss😂😂Ahaa! Kwamba mikate isiyotiwa chachu, mikate ya Yuda
😂😂😂 Halafu ukute muda huo unasutwa, umevaa zako shati la mistari halafu umechomekea, plus smartphone kiganjani huku ukiwa siriazi kama wasoma habari ITV, we acha tu mkuu, mambo mengine yanaumiza sana
Same applied to this one 👉 - YouTube
Itakuwa umeoa karibu na kwenu,utoke dar alafu useme nakaa sa 12 jioni hadi sa mbili usikuMimi Kwa wakwe naenda saa 12 jion.naondoka saa 2:00 usiku. Sipendi ujinga,, ikija kutokea nimelala Kwa mkwe ujue Kuna MSIBA wa mtu wa ndani sana