I Ighughuyi JF-Expert Member Joined Oct 12, 2023 Posts 306 Reaction score 666 Aug 15, 2024 #41 Niwaheri said: Itakuwa umeoa karibu na kwenu,utoke dar alafu useme nakaa sa 12 jioni hadi sa mbili usiku Click to expand... Huwa napita naacha gari parking ndo naenda...hapo nawaambia nimeona nipite nisalimie. Hapo Nina zawadi na mengineyo. .. natoka nachomoa gari natembea km 24...nalala kesho naendelea na safari kurudi
Niwaheri said: Itakuwa umeoa karibu na kwenu,utoke dar alafu useme nakaa sa 12 jioni hadi sa mbili usiku Click to expand... Huwa napita naacha gari parking ndo naenda...hapo nawaambia nimeona nipite nisalimie. Hapo Nina zawadi na mengineyo. .. natoka nachomoa gari natembea km 24...nalala kesho naendelea na safari kurudi
The only JF-Expert Member Joined May 19, 2011 Posts 10,805 Reaction score 14,181 Aug 15, 2024 #42 ilore said: Mwendelezo mkuu ikawaje? Click to expand... Tulichuna kama hakuna kilichowahi tokea
kyagata JF-Expert Member Joined Oct 18, 2016 Posts 10,406 Reaction score 19,892 Aug 16, 2024 #43 Niwaheri said: Itakuwa umeoa karibu na kwenu,utoke dar alafu useme nakaa sa 12 jioni hadi sa mbili usiku Click to expand... Sasa we ukweni unakaa zaidi ya masaa mawili kufanya nini?kuna ndugu yako huko?
Niwaheri said: Itakuwa umeoa karibu na kwenu,utoke dar alafu useme nakaa sa 12 jioni hadi sa mbili usiku Click to expand... Sasa we ukweni unakaa zaidi ya masaa mawili kufanya nini?kuna ndugu yako huko?
S sysafiri JF-Expert Member Joined Sep 19, 2019 Posts 6,845 Reaction score 10,071 Aug 16, 2024 #44 Mkumbuke kuwajengea wakwe nyumba na vyoo vya maana!