AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,577
- 4,637
Kwa mfano vitabu vilivyobeba hizi hadithi vilikuwa na mapungufu gani mpaka mkaviondoa?
Maana huu uliopo ni utumbo ambao hata mtoto sasa hivi ukimuuliza hakumbuki kitu.
- Sadiki na Chitemo
- Bwana Sikuelewi
- Muwa uliozamisha meli
- Hawafu mwenye nguvu
- Muwa uliozamisha meli
- KAMA UNATAKA MALI UTAYAPATA SHAMBANI
Maana huu uliopo ni utumbo ambao hata mtoto sasa hivi ukimuuliza hakumbuki kitu.