Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Mo mp5 once again hope ni wazima Wana Jf.
Sifa ya mtanzania ni ukarimu,ucheshi na upendo lakini imekuwa tofauti pale unapokuwa nchi za watu mtanzania ni mtu ambaye haaminiki kabisa hasa kwenye deals mbalimbali.
Ukiona mtanzania yupo nje ana ishi vizuri ujue ana kipaji mchezaji mpira,muigizaji,msanii au Kama unaenda kwenye project Maalumu.
Nchi ambazo mtanzania haaminiki
Saudi Arabia
Nigeria
South Africa
Korea
Brazil
Dubai
Ethiopia
Sudan
China
Congo
Uingereza
Sifa ya mtanzania ni ukarimu,ucheshi na upendo lakini imekuwa tofauti pale unapokuwa nchi za watu mtanzania ni mtu ambaye haaminiki kabisa hasa kwenye deals mbalimbali.
Ukiona mtanzania yupo nje ana ishi vizuri ujue ana kipaji mchezaji mpira,muigizaji,msanii au Kama unaenda kwenye project Maalumu.
Nchi ambazo mtanzania haaminiki
Saudi Arabia
Nigeria
South Africa
Korea
Brazil
Dubai
Ethiopia
Sudan
China
Congo
Uingereza