Fohadi
JF-Expert Member
- Jul 24, 2020
- 772
- 2,421
Mara kwa mara nikiamka asubuhi huwa napenda kusikiliza radio vipindi vya asubuhi. Asilimia kubwa ya vipindi vya asubuhi vinafanana kimaudhui hapa nitachukua sample ya vipindi vitatu. JOTO LA ASUBUHI ya EFM, POWER BREAKFAST ya CLOUDS na GOOD MORNING ya WASAFI FM.
Vipindi vyote vinaundwa na watangazaji wenye majina makubwa na uzoefu katika media. Binafsi baada ya kuvisikiliza sana hivi vipindi, nimeconclude kuwa PB ni bora kwa upande wangu na Kipanya ndio ananivutia zaidi.
Tukiweka ushabiki, chuki na mahaba pembeni na ukizingatia maudhui, hoja zinazowekwa mezani na critical reasoning ya watangazaji, kipi ni kipindi bora cha asubuhi kwa upande wako?
Vipindi vyote vinaundwa na watangazaji wenye majina makubwa na uzoefu katika media. Binafsi baada ya kuvisikiliza sana hivi vipindi, nimeconclude kuwa PB ni bora kwa upande wangu na Kipanya ndio ananivutia zaidi.
Tukiweka ushabiki, chuki na mahaba pembeni na ukizingatia maudhui, hoja zinazowekwa mezani na critical reasoning ya watangazaji, kipi ni kipindi bora cha asubuhi kwa upande wako?