Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fina alikuwa ana sauti na Lugha ya Ki Malkia nzuri sana...Hakika alikuwa mbad sana.
Fina naye anasaut flani ivi dah
Sema ile ya kuhoji ubarozi wa Denmark kipindi kile ndo ilitibua sana ya KP hadi akaamua kusepa.
Kwani Barbara kaanza kuwa kuwa kwenye PB mwaka gani...maana naona mnamtaja Mango sana.Fina alikuwa ana sauti na Lugha ya Ki Malkia nzuri sana...
Hivi ile Issue ya KP na Fina Kusepa walikubaliana wote na Hando then Hando akawasaliti ilikuwa ni kuhusu MIC zilivyowazingua baada ya ugeni kutoka Denmark au nachanganya?
Timu ya breakfast ikiongozwa na Kipanya , Fina.Ilikuaje mkuu...hebu tiririka kidogo nasisi tuzifahamu enzi
Hando alirudi nyumaFina alikuwa ana sauti na Lugha ya Ki Malkia nzuri sana...
Hivi ile Issue ya KP na Fina Kusepa walikubaliana wote na Hando then Hando akawasaliti ilikuwa ni kuhusu MIC zilivyowazingua baada ya ugeni kutoka Denmark au nachanganya?
UmetishaaAMKA NA BBC
Mie amka na BBC ikishapita sipati nafasi ya kusikiliza radio labda jioni kwenye daladala.Hii huwa sipendi kuikosa, mi nasikiliza radio kutumia online huwa natumia radio one kuipata sasa siku wakiwa offline na muda ndio umefika nitaanza kuisaka amka na bbc kwenye viredio vyote hadi niipate, kuna siku niliifuma kwizera fm, nikiwa bongo huwa nasikiliza radio one saa kumi nambili kamili hadi saa moja na robo, nahamia clouds hadi wamalize uchambuzi wa magazeti baada ya hapo sisikilizi redio tena hadi saa tatu usiku sports extra, kule namfata kiemba
Naamka 11:50 naweka radio one onUmetishaa
Kwanza sauti mororo isiyo na porojo za hapa na paleNaamka 11:50 naweka radio one on
Mpaka kipindi kiishe na mie nimeshajiandaa.
Utangazaji wake unavutia mno na wenye utulivu
RADIO ONEamka na BBC inapatikana kwa radio gani hapa bongo?...umeniinspire sana kuifatilia.
Best way to start a new dayKwanza sauti mororo isiyo na porojo za hapa na pale