lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Huyu rwenyagira ni chumvi kwenye mboga sema kuna chemistry inakosekana wanapayuka payuka sana hata orest yuko vizuri sana sema sijui yaani kuna namna tu ukisikiliza hakijakaa vizuri inatakiwa watafutiane chemistry...Tatizo GoodMorning utani mwingi na kuchekacheka sana. Inatakiwa wajipange. Angalau David Rwenyugira anajitahidi
Hizo redio ulizo zitaja ziko kwa ajili ya mihemeko kwanza makelele mengi yani hamnakitu hapoo mauthui ya na fanana na ujanja janja mwingi..
Hakuna redio zenye mpangilio mzuri kama hizi vipindi vya subuhi REDIO FREE AFRICA, TBC FM, REDIO ONE hawa ndio wanajua maana na maudhui ya kukupasha habari.
🤣🤣🤣Pb wako vizuri sana efm eti kingwendu nae eti ni mtangazaji [emoji35][emoji35] yani nikae nimsikilize kingwendu anipe madini aisee ni utani huu
ila summer mi sijawahi kumuelewa kabisa, namkubali sana Dea akiwa kwenye 1 na 2.Kabla Zembwela hajatoka East Africa Radio nilipenda sana kipindi chake cha asubuhi, saa saba ikifika nakamata Dw au Planet bongo hadi 10 kamili kama tu Dj Summer atakua mjengoni mana yule jamaa anapiga vitu vinakua kama live show yani unakua high mbaya, saa 10 wazee wa ndinga wako na utulivu sana kuanzia nyimbo na style yao yakuongea kama vile wako kwenye motion ya gari wanapiga stori, kama bado nipo saa mbili nawaacha na mipira yao labda nitatune Mawingu, saa tatu mzee tunakiwasha na Summer tena kwenye The Cruise
Hakuna
Hakuna Mtangazaji mkubwa hapo hao wote ni wapiga kelele,mfano Babra,kipanya kwenye hiyo PB ni kelele utafikiri watoto wadogo pia hawana weledi wowote!
Hawa watangazaji waliopewa ukweli wao kuna chao Cha kujifunza hapaaPB n kipindi boraa ,siza, kipanya,Barbra,na kwenye magazeti Sam, wamejipangaa sana,ilaa hawa efm n 0 kwanzaa hawapeani muda wakuongea kila mtu anaropoka kivyakee,good morning wana watu wazuri ila wajipange zaidii
Yeeeeh ubaoni naipendraaaaNaendelea kuhesabu kura.
ila kule mgahawa hawapo serious...sio rahisi mtu kumsikiliza Baba levo...na ile sala yao ya jioni huwa naonaga kama mambo ya ajabu tu..anyway, ni ubunifu wao ila kwa kipindi cha jioni zamani nilikuwa shabiki wa JAHAZI enzi za Kibonde ila now nimehamia UBAONI ya EFM.
Ndio redio yangu ya muda wote, wako vizuri kila kipindi japokuwa wanachukuliwa watangazaji kila maraKwa vipindi vya jioni kuanzia saa 10 mie namahamia East Africa Radio kipindi Drive Show ndinga mpya town kuna Ian Dialo, Justin Kessy na DJ Mackey, jamaa wametulia sana na wamejipanga vizuri.
Ea Radio to be honest wamepotea sana..Walikuwa poa sana aisee,kipindi hiyo nipo advance nakula msuli wa PCB na Ea radio..Ubora wao wa mwisho mwisho ulikuwa kwenye Power Jams na Sam Misago,Ea drive na Sebastian,The Cruise ya George Bantu na Kenedytheremedy..Weekend walikuwa na show kali pia Saturday breakfast,Planet Bongo,Ugandan Central,Strictly Kenya,The Request Show,Saturday mix..Saivi imepauka,tuna-tunein tu kwa mahaba,atleast Ea drive.Ndio redio yangu ya muda wote, wako vizuri kila kipindi japokuwa wanachukuliwa watangazaji kila mara
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Content ndio zilimpoteza Azory.Watangazaji wengi kwasasa hawana ‘Contents’ . Wanaunga unga sana stori za mtaani
Hii ni chuki.Hakuna
Hakuna Mtangazaji mkubwa hapo hao wote ni wapiga kelele,mfano Babra,kipanya kwenye hiyo PB ni kelele utafikiri watoto wadogo pia hawana weledi wowote!
Asubuhi DW station gani mkuuAsubui 6:00Am Dw
Mchana 13:00Dw
Jioni 18:00Pm
Mambo yaliyobaki nitakataka kwenye Media za bongo bullshit.