Daktari wa Manchester JF-Expert Member Joined Jun 1, 2020 Posts 350 Reaction score 403 Sep 8, 2022 #1 Habari za saa hizi. Je, ni mambo gani unatamani ungeyajua kabla hujafikisha miaka 23, Share hapa na wengine wajifunze.
Habari za saa hizi. Je, ni mambo gani unatamani ungeyajua kabla hujafikisha miaka 23, Share hapa na wengine wajifunze.
M Meckybalo New Member Joined Aug 23, 2022 Posts 1 Reaction score 1 Sep 8, 2022 #2 Ningejua kuwa elimu ya form 5 na 6 kwa tanzania haina umuhimu kwa kuwa nchi zilizoendelea wanatambua form 4 ndio mwisho wa high school except (england) Ningeenda zangu diploma tuu
Ningejua kuwa elimu ya form 5 na 6 kwa tanzania haina umuhimu kwa kuwa nchi zilizoendelea wanatambua form 4 ndio mwisho wa high school except (england) Ningeenda zangu diploma tuu
Dormant Account JF-Expert Member Joined Apr 5, 2022 Posts 11,308 Reaction score 32,757 Sep 9, 2022 #3 Nikifikisha nitarudi
F FRESHMAN JF-Expert Member Joined Sep 29, 2011 Posts 9,137 Reaction score 34,793 Sep 9, 2022 #4 Kufunga ndoa mapema na kuzaa mapema kuna faida nyingi kuliko hasara
Mwizukulu mgikuru JF-Expert Member Joined Oct 21, 2021 Posts 5,715 Reaction score 13,739 Sep 9, 2022 #5 Meckybalo uko sawa