Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna uwezo wa kujibu nilichokuuliza,umebaki kurukaruka hovyo tu kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla,bora upige kimya tu ili usiendelee kujiaibisha na hoja zako za darasa la pili unusu.Usinilazimishe nikujibu tena
mkuu iweke softcopyView attachment 1043777
Nawashauri dada zangu wasoma vitabu wa humu JF wasome hiki kitabu...nina soft copy kwa yeyote atakaetaka nitamtumia.
mkuu iweke softcopy
Mimi ni hiki "Think and Grow Rich"- By Napoleon Hill na How to influence people and win friends-DALE CARNEGIE
View attachment 1043757
View attachment 1043762
Ni vitabu ambavyo navikubali sana sana na haipiti mwezi lazima nivisome tena japo cha kwanza nilikimaliza mwaka 2016 na cha pili mwaka 2018.
Hivi ni vitabu ambavyo naweza fanyia mtihani na nikapata alama 100%.Navijua line kwa line,page kwa page,chapter kwa chapter na neno kwa neno.
Pamoja na kuvijua hivyo bado huwa navisoma mara kwa mara na sichoki kuvisoma
Kwangu ndio vitabu bora zaidi kuwahi kusoma
Karibuni
Mimi ni hiki "Think and Grow Rich"- By Napoleon Hill na How to influence people and win friends-DALE CARNEGIE
View attachment 1043757
View attachment 1043762
Ni vitabu ambavyo navikubali sana sana na haipiti mwezi lazima nivisome tena japo cha kwanza nilikimaliza mwaka 2016 na cha pili mwaka 2018.
Hivi ni vitabu ambavyo naweza fanyia mtihani na nikapata alama 100%.Navijua line kwa line,page kwa page,chapter kwa chapter na neno kwa neno.
Pamoja na kuvijua hivyo bado huwa navisoma mara kwa mara na sichoki kuvisoma
Kwangu ndio vitabu bora zaidi kuwahi kusoma
Karibuni
Nunua kitabu chochote kwa bei nafuu kupitia tovuti ya
vitabu.simdif.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Nunua kitabu chochote kwa bei nafuu kupitia tovuti ya
vitabu.simdif.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Nunua kitabu chochote kwa bei nafuu kupitia tovuti ya
vitabu.simdif.com
Sent using Jamii Forums mobile app