Ni kitabu gani huwa unakisoma mara kwa mara ?

Ni kitabu gani huwa unakisoma mara kwa mara ?

Usinilazimishe nikujibu tena
Huna uwezo wa kujibu nilichokuuliza,umebaki kurukaruka hovyo tu kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla,bora upige kimya tu ili usiendelee kujiaibisha na hoja zako za darasa la pili unusu.
 
Biblia nikisoma Zaburi ya 23 na 90 nahisi niko peponi.
Mimi ni hiki "Think and Grow Rich"- By Napoleon Hill na How to influence people and win friends-DALE CARNEGIE

View attachment 1043757

View attachment 1043762

Ni vitabu ambavyo navikubali sana sana na haipiti mwezi lazima nivisome tena japo cha kwanza nilikimaliza mwaka 2016 na cha pili mwaka 2018.

Hivi ni vitabu ambavyo naweza fanyia mtihani na nikapata alama 100%.Navijua line kwa line,page kwa page,chapter kwa chapter na neno kwa neno.

Pamoja na kuvijua hivyo bado huwa navisoma mara kwa mara na sichoki kuvisoma

Kwangu ndio vitabu bora zaidi kuwahi kusoma

Karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Barack Obama (yes we can)
Mwandishi: Lila Luce

Julius kambarage nyerere, falsafa zake na dhana ya utakatifu.
Mwandishi E. Katare.

Navingine kama pembetatu ya ndoa nk nk
 
Mimi ni hiki "Think and Grow Rich"- By Napoleon Hill na How to influence people and win friends-DALE CARNEGIE

View attachment 1043757

View attachment 1043762

Ni vitabu ambavyo navikubali sana sana na haipiti mwezi lazima nivisome tena japo cha kwanza nilikimaliza mwaka 2016 na cha pili mwaka 2018.

Hivi ni vitabu ambavyo naweza fanyia mtihani na nikapata alama 100%.Navijua line kwa line,page kwa page,chapter kwa chapter na neno kwa neno.

Pamoja na kuvijua hivyo bado huwa navisoma mara kwa mara na sichoki kuvisoma

Kwangu ndio vitabu bora zaidi kuwahi kusoma

Karibuni

ntumie soft copy zake mkuu
 
Back
Top Bottom