luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Uongo, GSU ilijulikana sana wakati wa moi nikiishi Nairobi
Kk special forces wa mataifa makubwa huwezi fananisha na special forces wa mataifa ya chini HATA SIKU MOJA USITHUBUTU KK wenzetu vita sio man power tu ongezea na TEKNOLOJIA bro !!Mtoa mada inaonekana, unataarifa nyingi za mitandaoni tofauti na uhalisia halisi.
Ingekuwa umepita na kujua ABC za majeshi na vikundi maalumu ungeweza kunadika kitu tofauti na hicho kidogo
Lengo si kubishana ila nikujuze kitu kidogo
Nchi nyingi sana zina special forces zao, hata kwetu hapa zipo, na zipo makini sana, tena, na kwa walio wahi kuona mafunzo yao, hayo ha NAVY AU SAS yanasoma kidgo,
Kinachotofautisha ni ishu ya hao ndio watawala, huwezi kuta kuna takwimu, zitazo waonyesha wao wamepitwa , hii ni mbinu ya kijesh na kivita na ni wanavyofanya kuonyesha silaha zao nzito na huwezo wa kijeshi
(kuna sababu nyingi tu hapa ila tusiende huko) .
Data nyingi kuhusu vikundi vya waasi, maharamia n. K zipo cooked nyingi hao majamaaa wameingiza mkono wao.
Yaani weka tatizo, indirectly kisha njoo directly na solution kwa lengo la kupenya sehemu husika. (ukiingia utaona mambo mengi fikirishi humo)
Kuna guys hapa bongo, ambao tukio kama hili wangesolve kwa muda mfupi sana, tu.
Note
Special force wanakazi maalum. Katika vikundi na mafunzo ya kijeshi, yanalevo zake. Kila tukio kuwapeleka special force ni matumizi mabay ya nguvu
( sawa na canter utumie kubebea kerti moja la soda, ingawa maisha ya Raia ni muhimu, ila ni mahesabu madogo tu)
Kuna matukio, ambayo polis wa kawaida anaweza solve, hadi kufikia special force ni hatua kubwa, ila hao jamaa wapo, tena makini sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
We master !! yaani mgeni uingie ktk nchi ya watu na madhana ya kivita yote hayo ? acha izo huyo jamaa alikuwa ametumwa na ubalozi maana baadhi ya special elites force wanakuwepo ktk balozi za nchi za wenzetu zenye maendeleoCorrection. SAS huwa ndio unit bora zaid..
Selection ya SAS ni ngumu sana kuliko Navy seals.
SBS(special boat services). Hawa ni pacha wa SAS ila wamebobea kwenye maji.
Huyo unae muona hapo alikuwa off duty, au anaweza kuwa ex-SAS since wanaruhusiwa kustaaf ktk umri mdogo.
Huyu bwana alikuwepo eneo hilo wakati panavamiwa.. si kwamba alitumwa au kenya iliomba msaada hapana.
Ni tukio limemkuta akaamua kutoa msaada since yeye ni expert kwenye counter terrorism.
Sent using Jamii Forums mobile app
mh hao RECC hamna kituNchi kam zakwetu huenda kuwa tunazo. Maybe hawana training kama ya wenzetu.
The thing is hiv vikosi ni vya siri sana kias kwamba members wa huko hawajulikani majina yao.
Uwa wanajulikana baadae wakishatoka nje ya jeshi. Kustaaf au kuacha.
Mfano kuna kikos maalum cha polis kutoka kenya kinaitwa GSU(general security unit) a.k.a recce. Hawa jamaa wamekuja kujulikana kwenye tukio la westgate. Hakuna ambae alikuwa akifaham existence yao.
Vikosi vipo. Ila vinafichwa sana kwa usiri mkubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
BWEGE kweli ww,Jaribu kufichaficha ujinga wako mvunguni mwa kitanda wengine wasiuone
Acha ujinga kwani narobi (nairobi) si mji kama miji mingine? Kabla hujazaliwa narobi ilijulikana kama half London. Wakati huo heroin court ikiwa ndilo chimbo. Biwott akiwa na maestates ya kuua mtu. Unamjua Githunguli wewe na story ya lilian tower? Acha ujingaHivi hakuna Mtanzania ambaye hajawai ishi Nairobi?
This attitude is too infantile for a Nairobian.Acha ujinga kwani narobi (nairobi) si mji kama miji mingine? Kabla hujazaliwa narobi ilijulikana kama half London. Wakati huo heroin court ikiwa ndilo chimbo. Biwott akiwa na maestates ya kuua mtu. Unamjua Githunguli wewe na story ya lilian tower? Acha ujinga
Am not a nairobian dude!This attitude is too infantile for a Nairobian.
sawa lkn bila urusi vita ya pili ya dunia hao SAS walikuwa wapotezeKama wangekuwa sio elite.. basi hizo nchi zisingewaita kuunda vikosi vyao.
Nchi ulizozitaja ni communist countries.
Sitoshangaa kama ikiwa hivyo.. kwa record tu ni kuwa SAS wametoa mchango mkubwa sana kwenye vita ya pili ya dunia.
Operation Squatter: 16-17 November 1941
Operation Green Room: December 1941
Operation Gaff: July 1944
Operation Begonia/Jonquil: 2-6 October 1943
Operation Wallace: 19 August – 19 September 1944
Operation Tombola: 4 March – 23 April 1944
Operation Houndsworth: 6 June – 6 September 1944
Hizi mission wao wako vitani , zilibadikisha uso wa world war II. . Russia walikuaa hawana hata special forces unit.
Bila kusahau operation nimrod :ilitokea kwenye ubalozi wa iran. Japo hii ilikiwa ni miaka ya 90.
Siwasifii sababu kazi zao zinajieleza vizur sana.. kinachowabeba ni experience na usiri.na nidham.
Sasa niambie ww hao spetznas.. ni the best in the wolrd in what? And how?
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa lkn bila urusi vita ya pili ya dunia hao SAS walikuwa wapoteze
kesho nitakutajia battle ten za spertsnaz now tecno inanisumbua
Sent using Jamii Forums mobile app
We master !! yaani mgeni uingie ktk nchi ya watu na madhana ya kivita yote hayo ? acha izo huyo jamaa alikuwa ametumwa na ubalozi maana baadhi ya special elites force wanakuwepo ktk balozi za nchi za wenzetu zenye maendeleo
kama walipigana vita ya pili bila special force na wakawa wa kwanza kuikamata ujerumani basi hawa wajeda wao sio wa kitotoSAS si jeshi. Bali ni unit ndani ya jeshi.
Kulikuwa na jeshi la uingereza la kawaida. navy na airforce walipambana vikali sana vita ya pili ( sir winston churchill ali play part kubwa )
By then russia walikusa na jeshi la kawaida tu.. walikuwa hawana vikos vya makomando. Miaka kumi mbelen ndipo russia waliunda vikosi vya makomando.
Sent using Jamii Forums mobile app
You don't have to say it. You can't be. You just can't be.Am not a nairobian dude!
kama walipigana vita ya pili bila special force na wakawa wa kwanza kuikamata ujerumani basi hawa wajeda wao sio wa kitoto
hao SAS ni watu wa show of japo wapo vzr lkn angakia hapo syria tu kazi wanayofanya spertnaz bila fujo zozote
Sent using Jamii Forums mobile app
fact bt kinyongeSAS sio watu wa show offs. Ndio maana matukio mengi waliyofanya hujulikana baadae sana.
Navy seals ndio wa kideo sana, hawa mpaka wamekosolewa na wananch kwa kuonyesha mpaka mafunzo yao online..
Anyway ni hiv russia advantage waliyokuwa wanatumia ni kwamba walikuwa ni wengi.. askari wengi kuliko uingereza.. na walipoteza askari 8,904,467.kwenye vita..
British walikuwa na askari si wengi sana lakin were very effective.
Kuacha askari wa kawaida
SAS walitumika kupiga miundombinu muhimu ya adui.. kuuua kupoteza kuarib mawasiliano ya adui.
Waliwapa wa germany wkt mgum sabab walikuwa wakiingia german bila ujeruman kujua.. wanashtukiza tu mambo yameharibika huku jamaa wakiwa wameshasepa.
Wao walipoteza karibia askar miliion moja na kitu.
Kumbuka ujerumani pia ilikamatwa na joint forces si urusi pekee. Ilikuwa ni muungano wa majeshi ktk kumuondoa hitler na jeshi lake.
Sent using Jamii Forums mobile app