Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

Ukinikopa nashindwaga kukuongopea sina, ila nitakuambia ninayo ila siwezi kukupa kama, kama una vigezo vya kukopesheka nitakupa
 
Sipendi kuvaa nguo ya Aina yoyote ile..si ya ndani Wala ya nje.

Sipendi kutembea Basi tu sina namna.

Sipendi kupewa pesa na mpendhi wangu Basi tu ananilazimisha kuzipokea[emoji41]
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Hupendi pesa wacha weeeee,
 
Naona kabisa wakati wangu ndio sasa, hiko kitu wakati wake ndio huu. Embu funga na kuomba Utafunguliwa haya.
 
Cheza na umri mama..jitahidi kusoma alama za nyakati
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Acha TU nikiona pesa Moyo wangu unachafukwaaa...kinyamaa😜
 
Inabidi tu niokoke,la sivyo dada anaweza kususa kunipikia chakula na pia naweza kukosa ile rahaa ya kuletewa chakula mezani na dada na yale maneno ya "kaka njoo tule".Uwiiiiiiiiii, hakuna kama dada ati!
Yap ni kweli mkuu hakuna kama dada😜😜😜
 
Nikija kuwa na mwili mkubwa sijui itakuwaje [emoji16]
Hapa tu nina kimwili hiki ila huwa najihisi mzito [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukiwa mkubwa si ntashinda nalala muda wote
Ngoja ufyatue katoto😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…