Ukitaka kula sharti uliwe kidogoAisee ni kero kubwa sana!..sema kwa sababu napenda kuwa msafi inanibidi nifue tu.Hapa nafikiria kununua washing machine,mopper na dish washer sema nikikumbuka umeme utakavyoenda nasikia kizunguzungu kabisaa[emoji1751]
Cha bure maneno tu,,,mjini hapa! Ntakuwa nazifata hapo hapo ulipo na kuzileta zimepigwa pasi ila mtanilipa.Eti fursa ππππlabda kama utakua unatufulia bure
Ukiambiwa inahitajika Entaglements pia uelewe mapema hivyo hivyo maana hapo ndipo tatizo la uongo linapoanziaga. Wanawake wengi hawataki kusikia hilo wako radhi udanganye tu ndio watakuelewa.Ila mm napenda mtu straight yan ukija ukaniambia unahitaji companionship na ukaniweka wazi kwa kila kitu,aisee i always appreciate it na lazma uwe rafiki yangu wa kudumu.
Honesty is the best policy.
weee bwana weeeππππm sipendi kufua ila nikifuliwa naona km hazitakati, alafu wengine tushazoea unanyoosha ndo unavaaa πCha bure maneno tu,,,mjini hapa! Ntakuwa nazifata hapo hapo ulipo na kuzileta zimepigwa pasi ila mtanilipa.
Bado hujaokoka?kwa kweli itabidi niokoke mapema ili nirahisishe jambo[emoji1787][emoji1787]
Hio biashara ya kwenda kwenye majumba ya watu ili ukapige story mwenyewe siipendi. Ila sikubaliani kabisa na wewe kuwa anti-social.Hata wapendwa tu utanikuta naongea nao nikiwa kanisani tu,tukimaliza huduma Sina stori na mtu ila mtu akija kuniongelesha naongea naye vizuri tu.
Tatizo siwezi toka nyumbani eti nimeenda kupiga stori kwa watu.
Simzuii mtu kuja kuongea na Mimi na huwa naongea na watu wa kila aina ila Hadi mtu anifwate mwenyewe.
Haaa, yani we hata mziki hupendi? πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maudhi na makwazo hayana budi kuja.
Nikiwa shule nilikuwa naudhika karibia kila siku.Unakuta mtu amekukuta rum umetulia unatafakari labda,anakuja anafungua bonge la mziki au anakuja na watu wanaanza kupiga kelele muda wewe umelala..kwangu mimi hii ilikuwa ni zaidi ya kero na hii hali sijawahi kuizoea.
Hapo kwenye binti wa mwisho hapo kuna namna πππHizo nilishazisikia mbona[emoji1787][emoji1787]halafu uzuri wangu mimi huwa Nina misimamo yangu,sipelekeshwi na maneno ya mtu.
Watu baadaye walikuja kunielewa kama ni mpole sana.
Nimerudi kukaa na mama huku Wala si mwenyeji sana maana muda mwingi sijaishi naye.
Nakujua dukani na kanisani tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Last week nimeenda na mama kanisani yaani tumesalimia watu njiani hadi nimekoma,nashangaa tu wanaongea ah ndio binti yako wa mwisho amekuja,wananijua Mimi hata siwajui ah mama anaongea na watu jamani.
Nashiriki shughuli muhimu tu kama misiba,shida na magonjwa.Hio biashara ya kwenda kwenye majumba ya watu ili ukapige story mwenyewe siipendi. Ila sikubaliani kabisa na wewe kuwa anti-social.
Dah, sasa mie nataka nikufundishe kitu leo! Pokea simu yangu ntakupigia saa 3 hivi usiku.Simu ambayo huwa napokea ni ya wazazi wangu hasa mama yangu ndiye huwa ananipigia simu kila siku.
Simu nitakayokuja kupokea Ni ya bf/mume wangu..hata akitaka tuongee 24 hrs nitafanya.
Simu nyingine zilizobaki huwa sipokei na nadhani wengi walishaacha kanipigia,,yaani unaweza piga na nikaiona na nisipokee..nikijitahidi basi nitakutumia msg.
Mziki alioweka mtu mwingine kwangu Ni kelele..nasikiliza ule niloweka Mimi.Haaa, yani we hata mziki hupendi? [emoji23][emoji23][emoji23]
Namaanisha last born[emoji1787]Hapo kwenye binti wa mwisho hapo kuna namna [emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli kabisa af mie nina jambo langu leo, tuchekiane baadae kuna swala nimeliona nataka nikupe hints kidogo..kuna mahala unafeli.Mimi huruma zangu ni za kijinga ila nashindwa kuziacha.
Zimeniingiza hasara mno ila sikomagi tu!
[emoji23]Kupiga mswaki ndo kunaniboa Sana. But sina namna
Duh, hii ni balaa πππ we inaonesha hata Club unaiskiaga kwenye vyombo vya habari achilia mbali barMziki alioweka mtu mwingine kwangu Ni kelele..nasikiliza ule niloweka Mimi.
Bahati mbaya maisha yangu yote nilikaa na watu wenye kelele
Mbaya zaidi unavuta na masigara hapo...nuka mdomo tu kama vipi πKupiga mswaki ndo kunaniboa Sana. But sina namna
Yaani tena usiku ndio kabisaDah, sasa mie nataka nikufundishe kitu leo! Pokea simu yangu ntakupigia saa 3 hivi usiku.
[emoji849][emoji849][emoji849]Yaani tena usiku ndio kabisa
Kanuni yangu huwa siongei na simu usiku.
Bora hata mchana ninaweza nitajitahidi nikapokea.
Malezi ya kitoto yalishaniathiri hadi sasa bado najiona Mtoto,huwa nawaza nikipokea simu usiku nitaonekanaje!
Hata hivyoo sipendi tu kuongea na simu labda kuwe na hizo exceptions