Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

Ila mm napenda mtu straight yan ukija ukaniambia unahitaji companionship na ukaniweka wazi kwa kila kitu,aisee i always appreciate it na lazma uwe rafiki yangu wa kudumu.

Honesty is the best policy.
Ukiambiwa inahitajika Entaglements pia uelewe mapema hivyo hivyo maana hapo ndipo tatizo la uongo linapoanziaga. Wanawake wengi hawataki kusikia hilo wako radhi udanganye tu ndio watakuelewa.

Kimsingi watu wengi hawaelewagi, mahusiano sio lazima yawe based na kusema unampenda mtu ilihali unamuongopea. Wengi wanataka no strings attached ila wanaanza na uongo mwisho mnasumbuana kihisia.
 
Hata wapendwa tu utanikuta naongea nao nikiwa kanisani tu,tukimaliza huduma Sina stori na mtu ila mtu akija kuniongelesha naongea naye vizuri tu.
Tatizo siwezi toka nyumbani eti nimeenda kupiga stori kwa watu.
Simzuii mtu kuja kuongea na Mimi na huwa naongea na watu wa kila aina ila Hadi mtu anifwate mwenyewe.
Hio biashara ya kwenda kwenye majumba ya watu ili ukapige story mwenyewe siipendi. Ila sikubaliani kabisa na wewe kuwa anti-social.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maudhi na makwazo hayana budi kuja.


Nikiwa shule nilikuwa naudhika karibia kila siku.Unakuta mtu amekukuta rum umetulia unatafakari labda,anakuja anafungua bonge la mziki au anakuja na watu wanaanza kupiga kelele muda wewe umelala..kwangu mimi hii ilikuwa ni zaidi ya kero na hii hali sijawahi kuizoea.
Haaa, yani we hata mziki hupendi? 😂😂😂
 
Hizo nilishazisikia mbona[emoji1787][emoji1787]halafu uzuri wangu mimi huwa Nina misimamo yangu,sipelekeshwi na maneno ya mtu.
Watu baadaye walikuja kunielewa kama ni mpole sana.
Nimerudi kukaa na mama huku Wala si mwenyeji sana maana muda mwingi sijaishi naye.
Nakujua dukani na kanisani tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Last week nimeenda na mama kanisani yaani tumesalimia watu njiani hadi nimekoma,nashangaa tu wanaongea ah ndio binti yako wa mwisho amekuja,wananijua Mimi hata siwajui ah mama anaongea na watu jamani.
Hapo kwenye binti wa mwisho hapo kuna namna 😂😂😂
 
Hio biashara ya kwenda kwenye majumba ya watu ili ukapige story mwenyewe siipendi. Ila sikubaliani kabisa na wewe kuwa anti-social.
Nashiriki shughuli muhimu tu kama misiba,shida na magonjwa.
Kwenye sherehe huwezi kunikuta
 
Simu ambayo huwa napokea ni ya wazazi wangu hasa mama yangu ndiye huwa ananipigia simu kila siku.
Simu nitakayokuja kupokea Ni ya bf/mume wangu..hata akitaka tuongee 24 hrs nitafanya.
Simu nyingine zilizobaki huwa sipokei na nadhani wengi walishaacha kanipigia,,yaani unaweza piga na nikaiona na nisipokee..nikijitahidi basi nitakutumia msg.
Dah, sasa mie nataka nikufundishe kitu leo! Pokea simu yangu ntakupigia saa 3 hivi usiku.
 
Dah, sasa mie nataka nikufundishe kitu leo! Pokea simu yangu ntakupigia saa 3 hivi usiku.
Yaani tena usiku ndio kabisa
Kanuni yangu huwa siongei na simu usiku.
Bora hata mchana ninaweza nitajitahidi nikapokea.
Malezi ya kitoto yalishaniathiri hadi sasa bado najiona Mtoto,huwa nawaza nikipokea simu usiku nitaonekanaje!
Hata hivyoo sipendi tu kuongea na simu labda kuwe na hizo exceptions
 
Yaani tena usiku ndio kabisa
Kanuni yangu huwa siongei na simu usiku.
Bora hata mchana ninaweza nitajitahidi nikapokea.
Malezi ya kitoto yalishaniathiri hadi sasa bado najiona Mtoto,huwa nawaza nikipokea simu usiku nitaonekanaje!
Hata hivyoo sipendi tu kuongea na simu labda kuwe na hizo exceptions
[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Back
Top Bottom