Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

Mhm!Ila we unaandika texts ndefu inaonekana hauna maringo wale kina slay queens

Unakuta ukichat nae kuanzia asubuhi mpaka jioni ye ameandika maneno 20 we umeandika maneno 10000[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi naandika boss
 
Nikiwa mkubwa nataka niwe kama wewe[emoji7]
 
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…