Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

Umewaona wakishangilia ?
Hapo mwanzo kulikuwako Neno
Naye Neno alikuwako kwa Mungu
Naye Neno alikuwa ni Mungu.

Imani chanzo chake ni kusikia na kusikia huja kwa Neno ambaye ni Mungu.
Neno lake ni amini na kweli.
Imani Ni kuwa na hakika ya mambo,ni bayana ya mambo yasiyoonekana.

BTW nimewahi ona,si kwa macho ya nyama...
Vipi,na wewe unatamani uone?
Tengeneza kwanza na MUNGU (personal fellowship)
 
Unaweza kunaimbia Malaika wapoje wapoje ? Na uliwaonaje pasi na macho ?
 
Unaweza kunaimbia Malaika wapoje wapoje ? Na uliwaonaje pasi na macho ?
Hujanijibu swali langu nililokuuliza
Ukitaka kujua yote tengeneza kwanza ushirika na MUNGU,Roho Mtakatifu atakupa hayo macho ya ndani na utaona.
 
Nashangaa eti mtu anamwambia mwenzie kuwa ndiye kila kitu wakati muda huo hawajaanza mahusiano.
Simply namwambia Xxx umenivutia hiki na hiki naomba tuwe partners. Ex wangu mmoja alikuwa anasema mambo ya kuoana sijui watoto wawe na majina gani. Yani nikikumbuka nakasirika ujinga na uongo niliokuwa nasema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…