Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ndani ya siku 2 hizi nimetiririka kama mvua[emoji1787]Hahaha! Umeshavitaja vyote au
Hili la kutopokea simu sijui ni pepo!Aisee
Kwa kweli.Ni furaha juu Mbinguni,Malaika wanashangilia kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja akiokoka[emoji4]
Fanya uamuzi
Ukikua utaachaHili la kutopokea simu sijui ni pepo!
Hata mimi huwa sielewi
Kweli?,dizaini gani?Washing machine haili umeme kabsa
😀😀 kwan kuna ambacho hujakitaja?Yaani ndani ya siku 2 hizi nimetiririka kama mvua[emoji1787]
Sidhani kama nimesahau kitu[emoji1787][emoji3][emoji3] kwan kuna ambacho hujakitaja?
Nikue mara ngapi dogo?Ukikua utaacha
Kama Malaika wanashangiliaKwa kweli.
Ww pia hushangilii?
Umewaona wakishangilia ?Kama Malaika wanashangilia
Mimi ni nani nisishangilie?
Kuhusu kula vipi ushasemaSidhani kama nimesahau kitu[emoji1787]
Hapo mwanzo kulikuwako NenoUmewaona wakishangilia ?
Kula napenda [emoji23][emoji23][emoji23]Kuhusu kula vipi ushasema
Sijambo mammie kazi zetu za shop sema tu sina elimu saivi ningekuwa hata Marketing Manager kwenye kampuni kubwaHujambo kijana..kazi zako ni gani??
SawaKula napenda [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hapa tunatakiwa tutaje tusiyoyapenda
Unaweza kunaimbia Malaika wapoje wapoje ? Na uliwaonaje pasi na macho ?Hapo mwanzo kulikuwapo na Neno
Naye Neno alikuwako kwa Mungu
Naye Neno alikuwa ni Mungu.
Imani chanzo chake ni kusikia na kusikia huja kwa Neno ambaye ni Mungu
Ni kuwa na hakika ya mambo,ni bayana ya mambo yasiyoonekana.
BTW nimewahi ona,si kwa macho ya nyama...
Vipi,na wewe unatamani uone?
Tengeneza kwanza na MUNGU (personal fellowship)
Amen mtumishi.Kama Malaika wanashangilia
Mimi ni nani nisishangilie?
Hujanijibu swali langu nililokuulizaUnaweza kunaimbia Malaika wapoje wapoje ? Na uliwaonaje pasi na macho ?
Nashangaa eti mtu anamwambia mwenzie kuwa ndiye kila kitu wakati muda huo hawajaanza mahusiano.Mie huwa napenda mtu understanding zaidi, pengine ndio maana sipendi kutongoza hovyo. Napenda mtu anaeweza kusoma hisia zangu mapema akanielewa na ndio patners ambao nimedumu nao muda mrefu kuliko ambao niliwatongoza.
It sucks kuanza kumdanganya mtu mzima kwamba she is your everything and bla bla whilst kimsingi unataka companionship tu. Mapenzi yatajijenga taratibu as your know eachother well ila guess what? Huwezi kupata mtu bila kumtia fix flani. Naboeka!!!