Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

Hujanijibu swali langu nililokuuliza
Ukitaka kujua yote tengeneza kwanza ushirika na MUNGU,Roho Mtakatifu atakupa hayo macho ya ndani na utaona.
Sawa.

Sitaki kuwaona, sasa kama wewe huniambii ulivyo waona wakoje huoni nikikwambia nataka kuwaona sitaweza kuwaona ?
 
Majibu yako yamenifanya nisitake kuyaona sababu hayaja nyooka.

Ukiniambia ulivyo waona wakoje wakoje na mimi nitakwambia nataka niwaone.
Uliuliza maswali ukiwa na majibu yako kichwani!?
Kulikuwa na haja gani ya kuuliza ikiwa una majibu yako na huna shida ya kuwaona?

Si kazi yangu kufanya, kukupersuade utamani kuwaona..siyo maonyesho ya fasheni haya kwamba natafuta watu waone.
Utawaona ukiwa na nia na atakayekusaidia kuona ni Roho Mtakatifu na wala si Mimi

Majibu yangu ni hayo na yamenyooka kabisa,kama ulitegemea majibu mengine basi pole.
 
Dada Chakorii nimepata mume[emoji14]

Capital G naomba ujenge nje ya mji kabisa.
Huku uswahilini nateseka
HuhuuuuuuuuuuuuπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈ Huo ubwabwa Shem darling ni lini?halafu Capital G naomba umjengee mdogo wangu Saint Anne msituni..hapendi ushirikiano na binadamu..
 
Sasa tupo tunapinduana halafu unachomekea story nje ya mada tunaanzaje kuwa romantic... Leta miguno hile hile na sio mazungumzo
Ahaaa kumbeee sasa ungeseme hivyo jirani..
Ila kuongea wakati mnapiga gemu ni nzuri sana...πŸ˜…πŸ˜…ukute sauti inayotoka hapo ni ile nyororoπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈShishshshhshsh..mmm hahahaha..ooo aaaa yeah..πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Huogopi kustukizwa na ada yako ya mwezi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…