Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

Asante mtoto mdhurii pia sijasahau tulips twa kugongea mu deep kish mubashara. My favourite part of a womans body!😝
Nitakuletea baba ila πŸ’‹ni za moto kama tanuru..utaziwezaπŸ€ͺπŸ€ͺ
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ni kweli aisee humu huwa nasoma vitu kuhusu Tanzania sivijui kabisa kwani sijawahi kuvisoma au kuvisikia popote pale lakini humu kuna waliokula chumvi nyingi wanavijua 😜😜

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] BAK, watu tumekula chunvi mingi
 
Umeona kazi sasaπŸ˜…πŸ˜…nifanye na mimi niwe rafiki yako niwe nakupigia kampeni mkuu..πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…hakuna rangi utaacha onaπŸ˜…πŸ˜…ni kushadadia mwanzo mwenga πŸ˜…πŸ˜…
 
Sipendagi kabisa kuelekezwa vitu hasa vile ambavyo ninaweza kuvifanya bila maelekezo..

For instance somebody tells you "ukimaliza kuangalia TV uzime"
Sasa inamaana mimi sijui
 
Sipendagi kabisa kuelekezwa vitu hasa vile ambavyo ninaweza kuvifanya bila maelekezo..

For instance somebody tells you "ukimaliza kuangalia TV uzime"
Sasa inamaana mimi sijui
Mamangu mdogo ndo mwenye tabia hiyo aise..

Siku moja nilienda kumtembelea kwake siku hiyo kwangu palinichosha kukaa pekee yangu ilikuwa Ijumaa au jmos hivi

😳usiku anaenda kulala eti β€˜β€œChakorii ukimaliza uzime tv”aise niliishia kucheka na kumwambia mama jamani..nikajiwazia hivi na miaka yangu hii 30 na ushee sijui kweli kuwa tv inazimwa wakati wa kulala..

Asubuhi kulivyokucha tu nikafanya baadhi ya shughuli..nilipomaliza nikajiomdokea zangu beach,usiku nikajitoa out mwisho nikarudi kwangu kwenye ukimya wangu...
 
Pole sana mammie hako katabia bana kanakera kiukweli
"Chakorii ukimaliza kupika uweke cha kula kwenye hotpot"[emoji23][emoji23]
 
Pole sana mammie hako katabia bana kanakera kiukweli
"Chakorii ukimaliza kupika uweke cha kula kwenye hotpot"[emoji23][emoji23]
Nitaishia kucheka tu lakini moyoni nakerekwa mfano hakuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…