Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu akija akakupa offer ya kukutoa out mkanywe wine utakataaSipendi mizunguko isiyo na ulazima.
Nakataa vizuri tu, nishawahi kukataa offer ya lunch Mount Meru hotel nikabaki ghetto mchana huo nikapika ugali na kabichi.Mtu akija akakupa offer ya kukutoa out mkanywe wine utakataa
Loh!katoto ka kishua wewe sio kwa pigo hizo za ki WashingtonNakataa vizuri tu, nishawahi kukataa offer ya lunch Mount Meru hotel nikabaki ghetto mchana huo nikapika ugali na kabichi.
Utaskia jamaa ana michongo kinoma yani ni Engineer kule Dodoma. Ukija mcheki mwamba mwenyewe hata deal ya laki 3 hatuwezi fanya 🤣🤣🤣Umeona kazi sasa😅😅nifanye na mimi niwe rafiki yako niwe nakupigia kampeni mkuu..😅😅😅hakuna rangi utaacha ona😅😅ni kushadadia mwanzo mwenga 😅😅
Hio ndio kinyume ya Rhetorical questions.Pole sana mammie hako katabia bana kanakera kiukweli
"Chakorii ukimaliza kupika uweke cha kula kwenye hotpot"[emoji23][emoji23]
Ni kweli umri bado mdogoIla nafikiri kuna umri bado anao siku akivuka huo umri kuna vitu mwenyewe atakuwa anajishangaa ilikuwa inawezekanaje..sasa hivi hatoelewa kitu😅😅
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Kuoga.
Nikiwa najifuta na taulo nmemaloza kuoga naonaga nmejikomboa bonge la mzigo yaani
Hahahah sawa mbibi wa kidijitali sema uko poa i like your personality!@Extrovert, tuliona jua siku nyingi mwanangu, sema tu sisi ni wale wabibi wa kidigitali
Ukinipea tutawezana, ntafanya kama napeleka tumbler!Nitakuletea baba ila 💋ni za moto kama tanuru..utaziweza🤪🤪
Kutawaliwa na liserikali la Maccm, ni jambo linalonichefua sanaHabari za mchana watu wangu wa nguvu..ni matumain yangu nyote mko salama na mnaendelea kuimalizia jumapili mwanana kabisa...[emoji3344][emoji3344]
Maisha ni mafupi bhana waaaahiii..[emoji28][emoji28]tujifurahishe tu hakuna namna[emoji1635][emoji1635][emoji1635]
Huo ulikuwa ni utangulizi tu [emoji28][emoji28]ngoja nirudi kwenye uzi sasa[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Aiseh hakuna kitu sipendi kama kuswaki,kuvaa kyupi[emoji85]kuvua na kuvaa nguo[emoji1787][emoji1787]ila nakuwa Sina namna. Mengine nitaendelea kuyakumbuka kadri mda unavyoenda[emoji28][emoji28][emoji28].
Karibu na wewe ushee nasi ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yako ya kila siku lakini unakuwa huna namna[emoji16][emoji16]
Karibuni wapendwa [emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635]
Uwezekano upo, cha muhimu uwe vizuri kiuchumiYaani kungekuwa na uwezekano wa kuvaa nguo mara moja then unanunua nyengine bila kufua na kuzirudia ningefurahi
Ndio maana unanenepa ovyoYaani mimi maisha tu yananifanya nitembee.
Last week kahoma kalinibana,yaani nimekaa chumbani siku km 4 hivi sijatoka hata sebuleni..halafu nilikuwa naona kawaida,cha ajabu nilipotoka wakawa wananishangaa[emoji23][emoji23]
Ukinioa babe jitahidi kuwa na kila kitu nyumbani.. sipendi kuzurura mie, sipendi stori na watu, napenda kukaa mwenyewe na ikiwezekana Jenga nyumba porini huko tukakae huko
Kwa kwenye hakuna chama sikipendi duniani kama ccmPole sana baba..hakuna namna..
CCM mbele kwa mbeleee[emoji444][emoji444]walisikika watu wa kampen wakiimba [emoji28][emoji28]
Hakuna namnaMbona unamaisha magumu sasa ndgu yangu..