Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

Sipendi mizunguko isiyo na ulazima

Sipendi kupika nikiwa ghetto

Sipendi kuosha vyombo na sabuni ya kipande

Sipendi kuvaa vaa masweta ila inanilazimu sababu ya mkoa niliopo
 
sipendi kukatisha usingizi saa10 ajili ya kujiandaa kwenda job, jambo hili lanikwaza sana ila kwa kua hakuna jinsi nafanya tu
 
Umeona kazi sasa😅😅nifanye na mimi niwe rafiki yako niwe nakupigia kampeni mkuu..😅😅😅hakuna rangi utaacha ona😅😅ni kushadadia mwanzo mwenga 😅😅
Utaskia jamaa ana michongo kinoma yani ni Engineer kule Dodoma. Ukija mcheki mwamba mwenyewe hata deal ya laki 3 hatuwezi fanya 🤣🤣🤣
 
Habari za mchana watu wangu wa nguvu..ni matumain yangu nyote mko salama na mnaendelea kuimalizia jumapili mwanana kabisa...[emoji3344][emoji3344]
Maisha ni mafupi bhana waaaahiii..[emoji28][emoji28]tujifurahishe tu hakuna namna[emoji1635][emoji1635][emoji1635]

Huo ulikuwa ni utangulizi tu [emoji28][emoji28]ngoja nirudi kwenye uzi sasa[emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Aiseh hakuna kitu sipendi kama kuswaki,kuvaa kyupi[emoji85]kuvua na kuvaa nguo[emoji1787][emoji1787]ila nakuwa Sina namna. Mengine nitaendelea kuyakumbuka kadri mda unavyoenda[emoji28][emoji28][emoji28].

Karibu na wewe ushee nasi ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yako ya kila siku lakini unakuwa huna namna[emoji16][emoji16]

Karibuni wapendwa [emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635]
Kutawaliwa na liserikali la Maccm, ni jambo linalonichefua sana
 
Yaani mimi maisha tu yananifanya nitembee.
Last week kahoma kalinibana,yaani nimekaa chumbani siku km 4 hivi sijatoka hata sebuleni..halafu nilikuwa naona kawaida,cha ajabu nilipotoka wakawa wananishangaa[emoji23][emoji23]

Ukinioa babe jitahidi kuwa na kila kitu nyumbani.. sipendi kuzurura mie, sipendi stori na watu, napenda kukaa mwenyewe na ikiwezekana Jenga nyumba porini huko tukakae huko
Ndio maana unanenepa ovyo
 
Hamna kitu sipendi kama kula mshahara wote week moja tu baada ya kuingia ila ndo ila ndo ivyo kilimanjaro lager ni tamu ntafanyaje sasa. Lazma kurudishia mwili shukrani kidogo kwa kazi ngumu . All in all we are sure of where we are coming from and where we are but we are not sure about tomorrow.
 
Back
Top Bottom