Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

Kupika nitakusaidia maana ndio kitu napenda kuliko zote.

Kuonsha vyombo sipendi ila hakuna namna.

Hama uko mama uje huku kwetu ..

Kwa pamoja tu jipe pole hakuna namna
Napenda kupika ila sipendelei kupika msosi then nile alone, inanibidi tu kwa kuwa hamna namna.

Napenda kuosha vyombo na sabuni ya maji, hapo nitaosha wee.

Huko kwenu ndiyo kwetu lakini chuo kilivyonipeleka mkoani nikajikuta napendelea zaidi mkoani narudigi kusalimia tu huko πŸ™‚

Sipendi kufua, yan sipendi jamani.
 
Weeee.....wewe utasubiri kidogo...unajua heka heka za mdada ambae ana 30’s na hana mtoto,mchumba wala mume...

Madam tuendelee kuchat tu maana[emoji28][emoji28] acha
[emoji1738][emoji1738][emoji1738][emoji1738][emoji1323][emoji1323][emoji1323]
 
Ohooooo basi sawa...kufua atakuwa anakusaidia Saint Anne anapenda sana kufua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…