Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

kati ya vyote...hapo umeniacha hoi aiseh πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi kubadilika kiaje??
Nifafanulieni ili nisije muonyesha rangi mtoto wa watu atakayekuja kwangu [emoji23][emoji23]

Saint mimi siku focus sana kwenye hilo eneo la kubadilika, nilikubaliana na Chakorii aliposema "Mwanaume atakaekupata atakuwa amepata kilicho bora"

Hata hivyo, kwenye kubadilika ni kweli huyo "mwamba" ata suffer...kwa namna ulivyo (the way umeji describe) utakua ume set the bar too high kwa ndugu yetu, kitu ambacho mabadiliko madogo tu yatamuwia vigumu ku cope.

All in all, mume wako pia atakua na jukumu la kuhakikisha hubadiliki, I mean...why should you change for the worse if you're getting the right treatment from the man you love?
 
[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji7]Hadi nimesisimuka niliposoma comment hii.
Kweli hakuna haja ya kubadilika vibaya kama ananitreat vizuri


Hata asiponipa right treatment sibadiliki
Mwanaume utakayekuja jua tu kuwa nikikupenda sikuachi ng'oo,fanya ujinga wote tutanyooshana tu[emoji23]
 
Umeelezea Vizuri sana mkuu..unaoffer yangu aiseh..

Anza na πŸ₯‚
 
Reactions: Pep
Kumbe nawe "Geti kali" πŸ˜‚
Usijali, hata mi' nipo hivyo, ila siku hizi nimeanza kupenda kusafiri-safiri kwa daladala na mwendokasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…