Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Uzi wangu una Baraka [emoji28][emoji28]ukatuwakilishe vizuri sasa na wewe loh[emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haki tuko tofauti kho...
Hongera tubadilishane basi
Hujawahi kuwa na mshikaji mwenye vituko na mastory km yote alaf hamuonani kila mara so mnajikuta mikasa yote mnapeana kwenye simu.Lisaa lazma lisome[emoji28][emoji3][emoji3][emoji119]
Tumefanana watu wengine sijui wanawezaje kuongea na simu saa zima.
Yaani mimiLabda kama hutokuja kuwa na maisha yako..lakini kama unategemea kuwa na maisha yako hapo baadae u anti sosho si mzuri mdogo wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji109]Sipendi kuishi, ila naishi tu kwasababu siwezi kujiua .
Sipendi kazi ninayofanya, ila nafanya tu kwasababu inatake care mambo yangu.
Sipendi kuishi bila mke, ila naishi tu kwasababu wanawake nao ndo ivo tena.
Sipendi umri nilionao, ila ndoivo tena siwezi kuurefusha/kujizeesha.
Sipendi kula ila ndo ivo sina kinga ya njaa.
Nikimaliza kula ntaendelea kuandika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]He hata mimi napenda mazingira ya ukimya na kukaa peke yangu lkni wewe umenishinda kwa tabia[emoji119]
Jehovah..mbona unamaisha magumu sasa kheSipendi kuishi, ila naishi tu kwasababu siwezi kujiua .
Sipendi kazi ninayofanya, ila nafanya tu kwasababu inatake care mambo yangu.
Sipendi kuishi bila mke, ila naishi tu kwasababu wanawake nao ndo ivo tena.
Sipendi umri nilionao, ila ndoivo tena siwezi kuurefusha/kujizeesha.
Sipendi kula ila ndo ivo sina kinga ya njaa.
Nikimaliza kula ntaendelea kuandika.
[emoji126][emoji4]itabidi tuingie inbox my wiiii tuchonge vizuriWaow Asante kwa kunipenda[emoji7][emoji7]
Naomba unipe huyo kaka yako anioe jamani [emoji23][emoji23][emoji23]
Kazi yangu itakuwa kulea kumpenda na kumhudumia yeye na watoto wetu.
Nipo bado nyumbani Sina mchumba,binti Safi kabisa mwilini na rohoni tayari kwa kuwa mwanamke mke wa mtu[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow your heart mkuu.do what makes you happy hakuna namna..Yani inakuwa vigumu ndio maana huwa siamini kama kuna sehemu naweza ajiriwa. Hivyo najipanga kabisa kwani najua nina asili kama ya ukosoaji na ubishi. Siasa hizo nazikwepa.
[emoji847][emoji847][emoji847]karibu wizoo
Yeah, my life sucks..But am down with it.Jehovah..mbona unamaisha magumu sasa khe
Nini lisaa nilikuwa naomngea saa nne mfululizo tunastuliwa na lisaa liko fika simu inakata tunaanza tena upya...hamtamani kumaliza ni utani mwanzo mwishoHujawahi kuwa na mshikaji mwenye vituko na mastory km yote alaf hamuonani kila mara so mnajikuta mikasa yote mnapeana kwenye simu.Lisaa lazma lisome[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Khe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi kuna miaka nilikuwa naachwa nyumbani kama mlinzi...nyie zungukeni muwezavyo,mkirudi mtanikuta ndani.
Na wakirudi wananiletea vitu vyote vya kupika hapo sasa ni mimi na jikoni,mimi na chumbani.
Shule nimepata tabu mno.