Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

Sipendi uongo, yani mtu akiwa muongo nakorofishana nae mapema sana
Hapa nakusupport jirani yangu..
Muongo muongo halafu chenga kibao 🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️Naweza kumtafuna..na huwa ninachukia hasira hunipanda kama anaconda....
Mwisho wa siku naishia kukaa kimya lkni nafasi niliyokupa mwanzo haiwezi ukweli tena
 
Hapa nakusupport jirani yangu..
Muongo muongo halafu chenga kibao [emoji2296][emoji2296][emoji2296]Naweza kumtafuna..na huwa ninachukia hasira hunipanda kama anaconda....
Mwisho wa siku naishia kukaa kimya lkni nafasi niliyokupa mwanzo haiwezi ukweli tena
Ukweli unamuweka mtu huru liwe baya liwe zuri,

Mimi nikijaribu kusema uongo nafsi inaniumaaaa kabisa, napenda kuongea ya wazi, ingawa yana nigharimu sana
 
Ukweli unamuweka mtu huru liwe baya liwe zuri,

Mimi nikijaribu kusema uongo nafsi inaniumaaaa kabisa, napenda kuongea ya wazi, ingawa yana nigharimu sana
Endelea kuwa mkweli hivyo hivyo mbinguni ni kwako kabisa..

Kuna watu hawapendi kuambiwa ukweli aise loh!!
 
Back
Top Bottom