Ni kitu gani ambacho kiliwahi kukutoa ushamba?

holy holm

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2017
Posts
4,793
Reaction score
9,101
Je nikitu gani ambacho kiliwai kukutoa ushamba katika maisha yko unacho kikumbuka..

Mimi ni pikipiki ilinitoa ushamba sana hicho kitu enzi hizo lakin
weka na chako twende sawa
 
Mungu nsamehe ila siku ya kwanza kufunuliwa uchi na mwanamke na kuniruhusu niweke kidude changu...nlisikia jotoooo na kupizi chwaap nikachanganyikiwa kwnz kwa raha kidogo nizimie.
 
Mara ya kwanza kutumia smart phone, nimetoka dukani nimefika home nimeicharge battery full nimeingia mtaani, mtu wa wa kwanza ananipigia ninapress green button, kuna kaka aliniona alikuja kunisaidia kufuta na kidole, oohh.
doooh...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…