Ni kitu gani ambacho kiliwahi kukutoa ushamba?

Mimi ilikuwa pc ya mshkaj halaf nikajitia much know huhuhuhuhu aibu ya mwaka the same with u
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Je nikitu gani ambacho kiliwai kukutoa ushamba katika maisha yko unacho kikumbuka..

Mimi ni pikipiki ilinitoa ushamba sana hicho kitu enzi hizo lakin
weka na chako twende sawa
Nilipo jipigia bao siku ya kwanza usiku, asubhi nilimwonyesha mama kuwa nimejikojorea mkojo mzito
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimeipenda nataman ningekuepo
 
Enzi hizo kitega uchumi ndio habari ya mjini ground floor palikuwa na restaurant, tumeenda na mwenyeji wangu katika kujihudumia nikachukua sahani nikaweka sambusa, yai la kuchemsha na eggchop bila kujua kwamba ndani kuna yai, wakati wa kula nashangaa nakutana na yai, nikajikausha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…