Ni kitu gani 'EX' wako alisema kuhusu wewe mlivyoachana na kilikufedhehesha?

Ni kitu gani 'EX' wako alisema kuhusu wewe mlivyoachana na kilikufedhehesha?

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Habari wanajukwaa la hili La Moto siku zote.

Leo bhana nimekaa nikaikumbuka Ex yangu na kitu iliwahi nifanyia baada ya kuachana.

Huyu binti nilikua napiga Miti sana enzi hizo nipo nae yani hadi Wakat wa baridi tulikua tunaoga Mara 3 katikati ya Match😂
Halaf yeye ndie alikua wa kwanza kusema ameridhika na anipa ASANTE PLUS KISS MOJA NZITO YA ASANTE Dadeek😂.

Mara paap mambo yakaja kuvurigika tukaacha ila sikuamini siku Anasema tena kwa Mwanangu ambae alikua anamkula mda huo akamwambia eti Nilikua sipigi Shoo Kali na yule Mwanangu akamsifia kua yeye ndio kiwembe daah!.

Tokea Miaka hiyo niliacha kuamini wanawake dadeek na saiv Mwanamke akiona Mmeacha ndio kitu wanakimbilia na hua wanatuweza sana sisi wanaume.

Maana huwez ku prove sehemu kua we Mwamba.

Dondosha comment vipi na wewe uliwahi singiziwa hicho au ulisingiziwa nini?
 
Wapi Uzi wa sie tuliowafedhehesha maEKSI?
Screenshot_20240704-210356~2.jpg

The clever one,the inpu.
 
Back
Top Bottom