Ni kitu gani 'EX' wako alisema kuhusu wewe mlivyoachana na kilikufedhehesha?

Ni kitu gani 'EX' wako alisema kuhusu wewe mlivyoachana na kilikufedhehesha?

Habari wanajukwaa la hili La Moto siku zote.

Leo bhana nimekaa nikaikumbuka Ex yangu na kitu iliwahi nifanyia baada ya kuachana.

Huyu binti nilikua napiga Miti sana enzi hizo nipo nae yani hadi Wakat wa baridi tulikua tunaoga Mara 3 katikati ya Match😂
Halaf yeye ndie alikua wa kwanza kusema ameridhika na anipa ASANTE PLUS KISS MOJA NZITO YA ASANTE Dadeek😂.

Mara paap mambo yakaja kuvurigika tukaacha ila sikuamini siku Anasema tena kwa Mwanangu ambae alikua anamkula mda huo akamwambia eti Nilikua sipigi Shoo Kali na yule Mwanangu akamsifia kua yeye ndio kiwembe daah!.

Tokea Miaka hiyo niliacha kuamini wanawake dadeek na saiv Mwanamke akiona Mmeacha ndio kitu wanakimbilia na hua wanatuweza sana sisi wanaume.

Maana huwez ku prove sehemu kua we Mwamba.

Dondosha comment vipi na wewe uliwahi singiziwa hicho au ulisingiziwa nini?
Bora hata wewe mliachana, mimi baada ya raundi tu, Aliniambia wewe mbona unawahi sana tofauti na wenzako😂😂

Oyaa nilichoka japo nilivunga ila moyoni ilinichoma, kutafakari nikagundua ni kweli😂, dakika 0 nyingi wakoloni hawa hapa

Kesho yake tu nilitafuta kiatu na bukta ikawa ni mwendo wa tizi na pumzi, mpaka kesho uzembe uzembe sitaki na diet changanya na mimbogamboga na matunda kama yote

Nashukuru alinisanua akanijuza nichangamke, sipati picha tungeachana angenipaka vipi😂

Wajameni tukaze buti, ukipewa fanya kama kazi, kama hutaki usiombe

Ila ukiomba ukapewa hakikisha unanyoosha goti kweli kweli, kuna watu tumeachana ila hata leo tukionana tunaheshimiana sababu mziki wanaujua.
 
Bora hata wewe mliachana, mimi baada ya raundi tu, Aliniambia wewe mbona unawahi sana tofauti na wenzako😂😂

Oyaa nilichoka japo nilivunga ila moyoni ilinichoma, kutafakari nikagundua ni kweli😂, dakika 0 nyingi wakoloni hawa hapa

Kesho yake tu nilitafuta kiatu na bukta ikawa ni mwendo wa tizi na pumzi, mpaka kesho uzembe uzembe sitaki na diet changanya na mimbogamboga na matunda kama yote

Nashukuru alinisanua akanijuza nichangamke, sipati picha tungeachana angenipaka vipi😂

Wajameni tukaze buti, ukipewa fanya kama kazi, kama hutaki usiombe

Ila ukiomba ukapewa hakikisha unanyoosha goti kweli kweli, kuna watu tumeachana ila hata leo tukionana tunaheshimiana sababu mziki wanaujua.
Oyaa weee😅😅 nimecheka kwa sauti
Kwani nyie wa hivo mnawatoaga wap?
 
Alikua anakwambia ameridhika coz ulikua unamchosha tu. Nani amekwambia kutwanga twanga ndio kumridhisha.😏
Btw Sijakua na Ex, no Story
Nikuulize we kama ni she kitu kipi hua kina kuridhisha au kama yeye ni mwanaume kipi hua unakifanya kumridhisha na unakua na uhakika karidhika?

Usiwe na porojo..ila ukiwa unanijibu kaa ukielewa wanawake hawajulikani kipi hua kinawaridhisha.

Answer me now!
 
Bora hata wewe mliachana, mimi baada ya raundi tu, Aliniambia wewe mbona unawahi sana tofauti na wenzako😂😂

Oyaa nilichoka japo nilivunga ila moyoni ilinichoma, kutafakari nikagundua ni kweli😂, dakika 0 nyingi wakoloni hawa hapa

Kesho yake tu nilitafuta kiatu na bukta ikawa ni mwendo wa tizi na pumzi, mpaka kesho uzembe uzembe sitaki na diet changanya na mimbogamboga na matunda kama yote

Nashukuru alinisanua akanijuza nichangamke, sipati picha tungeachana angenipaka vipi😂

Wajameni tukaze buti, ukipewa fanya kama kazi, kama hutaki usiombe

Ila ukiomba ukapewa hakikisha unanyoosha goti kweli kweli, kuna watu tumeachana ila hata leo tukionana tunaheshimiana sababu mziki wanaujua.
Pole mkuu

Aaahaaa

Miye aliniambia we ni handsome ila Hela huna

Tafuta kwanza Hela ndo uje
 
Oyaa weee😅😅 nimecheka kwa sauti
Kwani nyie wa hivo mnawatoaga wap?
Ni zile dizaini ya pisi fulani hivi makuzi ya kitaa tu, sio za kishua wala nini kawaida tu, madela ya hapa na pale na uswazi mwingi😂

Kama hujawahi pata hizo jaribu, japo sio ile mikurubembe iliyoshhindikana ya kitaa, ile jau inapigisha sana kwa boda na wahuni wengine😂
 
Back
Top Bottom