Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Aliniambia ninampiga sana vizinga a.k.a vibomu
Na kweli nilikua nampiga sana pesa
Na kweli nilikua nampiga sana pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lannister's hamuaminiki mnatabia ya kinafiki sana.Ndio Mimi hapa mkuu. Nambie
Tukishindwana tunaachana kwa amani. Kuachana sio vitaKuna namna.
Bora hata wewe mliachana, mimi baada ya raundi tu, Aliniambia wewe mbona unawahi sana tofauti na wenzako😂😂Habari wanajukwaa la hili La Moto siku zote.
Leo bhana nimekaa nikaikumbuka Ex yangu na kitu iliwahi nifanyia baada ya kuachana.
Huyu binti nilikua napiga Miti sana enzi hizo nipo nae yani hadi Wakat wa baridi tulikua tunaoga Mara 3 katikati ya Match😂
Halaf yeye ndie alikua wa kwanza kusema ameridhika na anipa ASANTE PLUS KISS MOJA NZITO YA ASANTE Dadeek😂.
Mara paap mambo yakaja kuvurigika tukaacha ila sikuamini siku Anasema tena kwa Mwanangu ambae alikua anamkula mda huo akamwambia eti Nilikua sipigi Shoo Kali na yule Mwanangu akamsifia kua yeye ndio kiwembe daah!.
Tokea Miaka hiyo niliacha kuamini wanawake dadeek na saiv Mwanamke akiona Mmeacha ndio kitu wanakimbilia na hua wanatuweza sana sisi wanaume.
Maana huwez ku prove sehemu kua we Mwamba.
Dondosha comment vipi na wewe uliwahi singiziwa hicho au ulisingiziwa nini?
Oyaa weee😅😅 nimecheka kwa sautiBora hata wewe mliachana, mimi baada ya raundi tu, Aliniambia wewe mbona unawahi sana tofauti na wenzako😂😂
Oyaa nilichoka japo nilivunga ila moyoni ilinichoma, kutafakari nikagundua ni kweli😂, dakika 0 nyingi wakoloni hawa hapa
Kesho yake tu nilitafuta kiatu na bukta ikawa ni mwendo wa tizi na pumzi, mpaka kesho uzembe uzembe sitaki na diet changanya na mimbogamboga na matunda kama yote
Nashukuru alinisanua akanijuza nichangamke, sipati picha tungeachana angenipaka vipi😂
Wajameni tukaze buti, ukipewa fanya kama kazi, kama hutaki usiombe
Ila ukiomba ukapewa hakikisha unanyoosha goti kweli kweli, kuna watu tumeachana ila hata leo tukionana tunaheshimiana sababu mziki wanaujua.
Nikuulize we kama ni she kitu kipi hua kina kuridhisha au kama yeye ni mwanaume kipi hua unakifanya kumridhisha na unakua na uhakika karidhika?Alikua anakwambia ameridhika coz ulikua unamchosha tu. Nani amekwambia kutwanga twanga ndio kumridhisha.😏
Btw Sijakua na Ex, no Story
Baasi mkuu bado hujakomaa!! Nyie ndo wale wakujinyongaga na kuacha vimemo mfukoni 😂😂😂Ninayo.
Girl wangu wa kwanza ndio mke wangu wa ndoa mpaka sasa 14 years toka tujuane.
MEch za nje chache nilizopiga hazikua zina involve engagement. Ni shika piga sepa. Zaman hata hivyo
Daaah watu wana matusi😂Nafuu nimekuacha kamtu kafupi hakaonekani
AaahaaaaNina kibamia afu ni kweli sasa nikahama mkoa
Nitag mkuuWapi Uzi wa sie tuliowafedhehesha maEKSI?
Pole mkuuBora hata wewe mliachana, mimi baada ya raundi tu, Aliniambia wewe mbona unawahi sana tofauti na wenzako😂😂
Oyaa nilichoka japo nilivunga ila moyoni ilinichoma, kutafakari nikagundua ni kweli😂, dakika 0 nyingi wakoloni hawa hapa
Kesho yake tu nilitafuta kiatu na bukta ikawa ni mwendo wa tizi na pumzi, mpaka kesho uzembe uzembe sitaki na diet changanya na mimbogamboga na matunda kama yote
Nashukuru alinisanua akanijuza nichangamke, sipati picha tungeachana angenipaka vipi😂
Wajameni tukaze buti, ukipewa fanya kama kazi, kama hutaki usiombe
Ila ukiomba ukapewa hakikisha unanyoosha goti kweli kweli, kuna watu tumeachana ila hata leo tukionana tunaheshimiana sababu mziki wanaujua.
Ni zile dizaini ya pisi fulani hivi makuzi ya kitaa tu, sio za kishua wala nini kawaida tu, madela ya hapa na pale na uswazi mwingi😂Oyaa weee😅😅 nimecheka kwa sauti
Kwani nyie wa hivo mnawatoaga wap?
Hamna mkuu. Nimemtag tu, usinigombanishe na watuLamomy ndo alikwambia hivyo?? 😹😹
Tema mate tumchape
Ongeza mkeNinayo.
Girl wangu wa kwanza ndio mke wangu wa ndoa mpaka sasa 14 years toka tujuane.
MEch za nje chache nilizopiga hazikua zina involve engagement. Ni shika piga sepa. Zaman hata hivyo
Basi sawaHamna mkuu. Nimemtag tu, usinigombanishe na watu