Ni kitu gani 'EX' wako alisema kuhusu wewe mlivyoachana na kilikufedhehesha?

Ni kitu gani 'EX' wako alisema kuhusu wewe mlivyoachana na kilikufedhehesha?

Nikuulize we kama ni she kitu kipi hua kina kuridhisha au kama yeye ni mwanaume kipi hua unakifanya kumridhisha na unakua na uhakika karidhika?

Usiwe na porojo..ila ukiwa unanijibu kaa ukielewa wanawake hawajulikani kipi hua kinawaridhisha.

Answer me now!
Unaona ulivyo mweupe 🤣🤣 maswali Gani haya unauliza, na unategemea nikujibu uziite porojo tena🙄🙄
 
Hawezi kuroga umaskini uliokithiri kwenye familia yetu...! Hii baada ya kumkuta anamlipa pesa afarakanishe mahusiano flan ili yeye aingie...🤝
 
[emoji41]
Em4oZChXIAA2296.jpg
 
Back
Top Bottom