Ni kitu gani 'EX' wako alisema kuhusu wewe mlivyoachana na kilikufedhehesha?

Ni kitu gani 'EX' wako alisema kuhusu wewe mlivyoachana na kilikufedhehesha?

Alisema mi ni muhuni eti hata nikiwa nae nilikua sioni aibu kugeuka kuangalia mademu wengine.

Tuhuma hizi ni za uongo maana hata nikiwa peke yangu huwa sina tabia ya kugeuka nikipishana na mademu
Alikua amekuchoka😂
 
Habari wanajukwaa la hili La Moto siku zote.

Leo bhana nimekaa nikaikumbuka Ex yangu na kitu iliwahi nifanyia baada ya kuachana.

Huyu binti nilikua napiga Miti sana enzi hizo nipo nae yani hadi Wakat wa baridi tulikua tunaoga Mara 3 katikati ya Match😂
Halaf yeye ndie alikua wa kwanza kusema ameridhika na anipa ASANTE PLUS KISS MOJA NZITO YA ASANTE Dadeek😂.

Mara paap mambo yakaja kuvurigika tukaacha ila sikuamini siku Anasema tena kwa Mwanangu ambae alikua anamkula mda huo akamwambia eti Nilikua sipigi Shoo Kali na yule Mwanangu akamsifia kua yeye ndio kiwembe daah!.

Tokea Miaka hiyo niliacha kuamini wanawake dadeek na saiv Mwanamke akiona Mmeacha ndio kitu wanakimbilia na hua wanatuweza sana sisi wanaume.

Maana huwez ku prove sehemu kua we Mwamba.

Dondosha comment vipi na wewe uliwahi singiziwa hicho au ulisingiziwa nini?
Alinitangaza mtaani kwamba nnapenda sana kwa mparange(Tope) kuliko njia kuu. Na n kwel napenda Kwa mparange.
Wadada na wamama wa mtaani walikua wananiogopa sana. Ckuweza kupata Dem mtaan tena.
 
Alinitangaza mtaani kwamba nnapenda sana kwa mparange(Tope) kuliko njia kuu. Na n kwel napenda Kwa mparange.
Wadada na wamama wa mtaani walikua wananiogopa sana. Ckuweza kupata Dem mtaan tena.
Dah umenichekesha kinyama jamaa, kwamba kweli wewe unapenda behind the scenes 🤣🤣
 
Habari wanajukwaa la hili La Moto siku zote.

Leo bhana nimekaa nikaikumbuka Ex yangu na kitu iliwahi nifanyia baada ya kuachana.

Huyu binti nilikua napiga Miti sana enzi hizo nipo nae yani hadi Wakat wa baridi tulikua tunaoga Mara 3 katikati ya Match😂
Halaf yeye ndie alikua wa kwanza kusema ameridhika na anipa ASANTE PLUS KISS MOJA NZITO YA ASANTE Dadeek😂.

Mara paap mambo yakaja kuvurigika tukaacha ila sikuamini siku Anasema tena kwa Mwanangu ambae alikua anamkula mda huo akamwambia eti Nilikua sipigi Shoo Kali na yule Mwanangu akamsifia kua yeye ndio kiwembe daah!.

Tokea Miaka hiyo niliacha kuamini wanawake dadeek na saiv Mwanamke akiona Mmeacha ndio kitu wanakimbilia na hua wanatuweza sana sisi wanaume.

Maana huwez ku prove sehemu kua we Mwamba.

Dondosha comment vipi na wewe uliwahi singiziwa hicho au ulisingiziwa nini?
Nikiumia pale niliposikia kua Niko na wanawake wengi huku nikiwa Sina nikimtizama yeye kua kama kilevi changu aloooh nikiumia sana🤣🤣
 
Niliuguaga kuna kipindi bwana ugonjwa serious sana siku tunaachana niliambiwa wewe toka na ma fungus yako kila sehemu apo uku yeye toka tunaanza mahusiano anahangaikia kupona PID
 
Niliuguaga kuna kipindi bwana ugonjwa serious sana siku tunaachana niliambiwa wewe toka na ma fungus yako kila sehemu apo uku yeye toka tunaanza mahusiano anahangaikia kupona PID
Pid ndo Nini!?
 
Habari wanajukwaa la hili La Moto siku zote.

Leo bhana nimekaa nikaikumbuka Ex yangu na kitu iliwahi nifanyia baada ya kuachana.

Huyu binti nilikua napiga Miti sana enzi hizo nipo nae yani hadi Wakat wa baridi tulikua tunaoga Mara 3 katikati ya Match😂
Halaf yeye ndie alikua wa kwanza kusema ameridhika na anipa ASANTE PLUS KISS MOJA NZITO YA ASANTE Dadeek😂.

Mara paap mambo yakaja kuvurigika tukaacha ila sikuamini siku Anasema tena kwa Mwanangu ambae alikua anamkula mda huo akamwambia eti Nilikua sipigi Shoo Kali na yule Mwanangu akamsifia kua yeye ndio kiwembe daah!.

Tokea Miaka hiyo niliacha kuamini wanawake dadeek na saiv Mwanamke akiona Mmeacha ndio kitu wanakimbilia na hua wanatuweza sana sisi wanaume.

Maana huwez ku prove sehemu kua we Mwamba.

Dondosha comment vipi na wewe uliwahi singiziwa hicho au ulisingiziwa nini?
"Huna pesa na haujui mapenzi",

Lakin hajawahi kupigwa show ya bila kukojoa
 
[emoji81][emoji81][emoji81] Uduguu sina ex mwenzio na sijawahi kuwa na ex. Nna fire extinguisher tyuu kwaajili ya dharula ya moto ukitokea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chizii wee!!
 
Niliuguaga kuna kipindi bwana ugonjwa serious sana siku tunaachana niliambiwa wewe toka na ma fungus yako kila sehemu apo uku yeye toka tunaanza mahusiano anahangaikia kupona PID
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom