Ni kitu gani 'EX' wako alisema kuhusu wewe mlivyoachana na kilikufedhehesha?

Ni kitu gani 'EX' wako alisema kuhusu wewe mlivyoachana na kilikufedhehesha?

Mimi ndio nilimfedhehesha kalikuwa kanajifanya kafundi ka kupika ,kumbe bure tu.Nilikuwa nakula kukaridhisha tu nikimaliza nakaambia sijawahi kula chakula kitamu kama hiki toka nizaliwe ila chini kabisa kwenye moyo wangu nilikuwa naona matapishi tu.
Kila kitu mavitunguu swaumu ,ya nini sasa.Siku moja kaligandisha maziwa yakawa kama maji waliyonawia watoto.Wali kanauremba na makaroti na mavitunguu mabichi kama mapishi ya ITV .Halafu kalivyo kashari kanakupakulia mengiii ,kanakusimamia uyamalize.Nilikaambia wewe hata ukae kwa shishi food miaka 30 ushinde na kwenye TV na Youtube unajifundisha mapishi ni buree kabisa.
 
Eti sikuwahi mridhisha na alinipenda hivyo hivyo kwa kuwa mi ni handsome, nina muonekano wa kirijali na alibeba mimba makusudi ili azae mtoto anayefanana na mimi.

Nina mbegu bora alitamani awe na mtoto kama mimi. Yule mwanamke alinisumbua sana baada ya kumpiga chini. Hakuamini kama nitamuacha kwani alinipenda sana na akawa anajivunia na kunitanbulisha kwa wenzake kwa sifa nilipokuwa nikienda kwake alipokuwa anafanya kazi.

Baada ya kumpiga chini, akaanza kushtaki na kujiliza kwa Baba yangu. Kumbe alichukuaga namba ya simu ya Baba yangu bila kujua. Akampigia, kujitambulisha na kuanza kujiliza. Yule dada alinipenda sana ilikuwa miaka ya 2008 hiyo na hata leo ananichukia sana. Nahofu nikikutana naye yule Loveness pale Morogoro ataweza niitia mwizi.
 
Habari wanajukwaa la hili La Moto siku zote.

Leo bhana nimekaa nikaikumbuka Ex yangu na kitu iliwahi nifanyia baada ya kuachana.

Huyu binti nilikua napiga Miti sana enzi hizo nipo nae yani hadi Wakat wa baridi tulikua tunaoga Mara 3 katikati ya Match😂
Halaf yeye ndie alikua wa kwanza kusema ameridhika na anipa ASANTE PLUS KISS MOJA NZITO YA ASANTE Dadeek😂.

Mara paap mambo yakaja kuvurigika tukaacha ila sikuamini siku Anasema tena kwa Mwanangu ambae alikua anamkula mda huo akamwambia eti Nilikua sipigi Shoo Kali na yule Mwanangu akamsifia kua yeye ndio kiwembe daah!.

Tokea Miaka hiyo niliacha kuamini wanawake dadeek na saiv Mwanamke akiona Mmeacha ndio kitu wanakimbilia na hua wanatuweza sana sisi wanaume.

Maana huwez ku prove sehemu kua we Mwamba.

Dondosha comment vipi na wewe uliwahi singiziwa hicho au ulisingiziwa nini?
 
Labella anapenda kuona madubwasha km hayo muwekee picha hapa au mtumie PM PM yake ipo wazi
Wee shangingi kwann hutulii?? Si uende wewe uliyekuwa unalalamika bwanaako ana kibamia.!!
Kwani wewe hutaki kukazwa na mwenye Dyudyu kubwa??
 
Fire extinguisher Wewe umekua yule Rama White kinyozi aliepigwa kiberiti na Neema binti wa kimachame? Unajua hizi code Warumi tunazifungua Kirumi
Toka bwanaako akuache hutulii.!!
Punguza ushangingi
 
Alikua anakwambia ameridhika coz ulikua unamchosha tu. Nani amekwambia kutwanga twanga ndio kumridhisha.😏
Btw Sijakua na Ex, no Story
Bora mimi wangu kuridhika kwake unaona kwa vitendo, anaanza kutetema kama kapigwa shot kisha anazimia kidogo. Huyu hawezi igiza kuridhika
 
Wote nawaita mbwa, mbwa wale bado wanaumia dadeki sina dogo ubaya ubwela
 
Back
Top Bottom