Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,647
Japo sio vijana ila vijana wengi sasa hivi ambao wazazi wao wamebahatika kuwa na Mali kila iendayo leo wanaombea wazazi wao waondoke hapa duniani ili waweze kurithi Mali na kuuza Mali.
Wako wengine wazazi licha wako Hai tayali wameshapiga hesabu wako wangapi kwa baba yao, wameshapiga hesabu hii nyumba tukiuza tugawane ngapi ngapiii hivyo kila iendapo leo wanapiga hesabu hawa wazee wataondoka lini yaani kila kukicha wanawaombea wafe.
Je, tatizo ni nini mpaka vijana wanapelekea kuwa na haya mawazo ni kwanini wasitafute vya kwao.
Wako wengine wazazi licha wako Hai tayali wameshapiga hesabu wako wangapi kwa baba yao, wameshapiga hesabu hii nyumba tukiuza tugawane ngapi ngapiii hivyo kila iendapo leo wanapiga hesabu hawa wazee wataondoka lini yaani kila kukicha wanawaombea wafe.
Je, tatizo ni nini mpaka vijana wanapelekea kuwa na haya mawazo ni kwanini wasitafute vya kwao.