tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,133
- 280
Hahahaaaa home mate umeua mazima......mi napuliza we unang'ata ndo aje sasa....
Necha inapinga kuuana....so tofauti ya Afrodenzi na Nazjaz na Chetundu ni kuwa, kwakuwa Afroo yuko singo, unajibanjulia bila kuhofu kuwekewa tego, kuchapwa makonde au kutafunwa kinyeo chako na wenye mali zao...necha haipendi.
Lakini kwa kuwa Afroo yuko single...aku, unajimegea kwa raha zako kama necha inavyotutaka, iwe gesti, chumbani ake, hotelini, kwenye garrrr ako/ake au chini ya mwembe.
Nakufuata huko geshti nijue kama unadumisha mila au unazingatia maslahi ya necha.
Hahahahahahahah lol
Haya babu nakubaliana
Na weye kidoncho tuuu
Jekama kweli umemweleza huyo
binti mdogo ukweli kwamba una mke
unadhani ye atakubali kuwa second hand clothes?
Dahhh leo nisamehe bure..
Hilo nalitambua, mi huwa sibishani na wewe kwa kuwa wewe ni wa mambo hadharani wakati mie nazuga hadharani...Necha haichagui hommie lol
Mi nadumisha mila bana...kisha nazingatia necha...
Hapo hommie uko kikazi au kimaslahi zaidi?AD mwache babu alale kidogo jamani njoo tuongee sisi
Ni tamaa tu hakuna lingine.
Kwa taarifa yako, mabinti wengi siku hizi wanapenda wanaume waliooa.
1. Si wasumbufu, hamna kupigiana masimu usiku kuombana baioloji
2. Wepesi wa kugawa mshiko, wanajua hali halisi ya maisha
3. Wanajua jinsi ya kumfikisha mwanamke anapopahitaji....wako experienced
Ngoja nikalale kidogo, usiniamshe
Bila tamaa/kutamani biolojia hazisisimki ama?
Hilo nalitambua, mi huwa sibishani na wewe kwa kuwa wewe ni wa mambo hadharani wakati mie nazuga hadharani...
Hapo hommie uko kikazi au kimaslahi zaidi?
Hahahaha...zinasisimka with au without?
Daaahh
Haya babu na
Wife anajua kuhusu hili
au hii ndo ile piga uwa sisemi..
Nway Leo nimekusumbua sana
kesho saa nane mchana fika pale
chini ya new mmbuyu nime book massage
kwa wale waThailand..halafu ugoro ntaokupa kesho
haujatoka China .
ok babu you sleep tight and sweet dreams..
AD mwache babu alale kidogo jamani njoo tuongee sisi
There I go!:tape::tape::tape::rip:
hapo hommie vyote tu...twen zetu kule
Habarrr angu binafsi njema bana....ngoja nielekee vere vere kule.both with and without....ukiwa na without, msisimko unakuwa ni fast track, ukiwa with, aste aste...
habari yako bana...
both with and without....ukiwa na without, msisimko unakuwa ni fast track, ukiwa with, aste aste...
habari yako bana...
Unaharibu sasa.....necha hairuhusu ugomvi, kwahiyo waifu hapaswi kumjua msaidizi wake ila msaidizi anapaswa kumjua bosi wake.......
Kesho mbona mbali....ukimalizana na Kaizer uje huku mtaa wa pili, utanikuta na mkongojo wangu.
msichezee wapemba tu.
msichezee wapemba tu.
enhe.....chetuntu ni mpemba? kama siyo there are two things involved
Kwa wanaume: Hawakuumbwa kuwa na mwanmke mmoja...huwezi kupingana na necha.
Kwa wanawake wenye tabia hiyo: Umalaya, mwanamke anapaswa awe na mwanaume mmoja tu.
Narudi kitandani.
wewe unao wangapi?...ni matabia mabaya tu ya mtu na kujiendekeza+ matamaa, mie nashangaaga unakuta mtu ana mke/gfnd mzuri tu but haridhiki, wanaume viumbe wa ajabu sana sana.