NI KITU GANI HUWA KINAKUSHANGAZA(au pengine unaona ni cha pekee) kwa MWENZI WAKO?

duh! hapa leo japokuwa ni vibaya,lakini ni bora ukasema huna mahusiano kwa hiyo huna cha kushangaa na ukajikuta unajishangaza wewe mwenyewe moyoni."kila mtu kwa nafsi yake" duh!,unajua yanayoistaajabisha nafsi juu ya mwenza wako kuyatamka upenuni yanataka ujasiri,vinginevyo inabidi uwe injinia wa habari fupi.Hii ni nzuri saaaaaana Geoff,imezidi uzuri kiasi cha kuleta kigugumizi.
 
he he he he!wewe bana,HAYA

Sikumbuki mara ya mwisho kulala na wife huku nimevaa nguo ilikuwa lini. Ni kama nilivozaliwa, iwe mchana au usiku! Storongo nayo huwa inahitaji oksijeni bana. Fresh air kwa ajili ya kuboresha pafomensi. Hapa ntakula senksi, I know!
 
mwenzi wangu hawezi kutumua hizi urinals za wanaume yaani mpaka ajifungie c****i.. sijui ni haya ama???😛

He! Vipi kabamia au kisiki cha mpingo? Au hajakatwa ile kitu? LOL! Hahaha!
 

Hahaha! Leo wapwa mnachangia kimtindo! Lakini tunawaelewa hivyohivyo mnamaanisha nini! LOL! Bwashee angekuwa karibu hapa ningemtwanga taska 4 za baridi for this useful sredi.
 
He! Vipi kabamia au kisiki cha mpingo? Au hajakatwa ile kitu? LOL! Hahaha!


wala mambo yako shwari kabisa ...ningekuwa nilimtosa ahahahhahahha...basi tu ni haya....
 
Hahaha! Leo wapwa mnachangia kimtindo! Lakini tunawaelewa hivyohivyo mnamaanisha nini! LOL! Bwashee angekuwa karibu hapa ningemtwanga taska 4 za baridi for this useful sredi.
hapa bwashee umeua!TUNAWASOMA KI HIVYO HIVYO!maektra jiniasi wapwa
 
Leo mazee umegusa patamu,
daaaaa! sijapata bado ufahamu,
mzee unasechi netiweki!
ha ha ha
kitu ambacho hukuwahi kukifikiria....!LOL
 
Kuna siku niliopoa dada mmoja kumbe nikikojozi dah si akanilazimisha nivue nguo zote nikalala naked na sio kawaida yangu naogopa popobawa au kuvamiwa usiku si mnajua tena yule dada alipojikojolea akanisogeza mm upande alipo lala yeye alafu yeye akahamia kukavu dah mm usiku kushtuka nikaona eheeeeee mambo yameharibika uliza nn kilichotea hapo....
 


Yawezekana ni muoga na anashindwa jinsi ya kukuanza au ww uko siriazi sana huwa huna mazoea ya kutaniana ( kuchezacheza nae) na kama shughuli anaimudu na anapenda jaribu kuwa karibu zaidi ya hapo mlipo huenda atakuanza nae sikumoja.

Ila wangua akikasirika huwa anaweka mito kati tusigusane
 
sikumbuki mara ya mwisho kulala na wife huku nimevaa nguo ilikuwa lini. Ni kama nilivozaliwa, iwe mchana au usiku! Storongo nayo huwa inahitaji oksijeni bana. Fresh air kwa ajili ya kuboresha pafomensi. Hapa ntakula senksi, i know!
hahahaaaa, mpwa nimekugongea, thibitisha hapa hapa:


the following user say thanks to chrispin for this useful post:

george_porjie (today)
 

weeeeeeeeeeeeeeeee.....hapo ndipo panatka kitanda cha single hamna pa kukimbilia, hiyo mito ataiweka wapi
 
wala mambo yako shwari kabisa ...ningekuwa nilimtosa ahahahhahahha...basi tu ni haya....

Si unaona? Leo tutajua kila kitu chenu japokuwa kinakuja indirectly. Shwari manake si kabamia wala kisiki cha mpingo, siyo? Fifty fifty siyo? LOL!
 
yaani wacha kunichekesha we.... eti nisikaone.....sio 'ka' ni 'ji'

He! Sikujua we ni mvumilivu ki hivyo! Vipi kawekewa pini kabisa au ndio umeshakubali kizazi kisogezwe kifuani? LOL!
 
Hii thread watu wanadonoa donoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…