NI KITU GANI HUWA KINAKUSHANGAZA(au pengine unaona ni cha pekee) kwa MWENZI WAKO?

NI KITU GANI HUWA KINAKUSHANGAZA(au pengine unaona ni cha pekee) kwa MWENZI WAKO?

Si unaona? Leo tutajua kila kitu chenu japokuwa kinakuja indirectly. Shwari manake si kabamia wala kisiki cha mpingo, siyo? Fifty fifty siyo? LOL!



mmmmm kumbe????? wacha niuchune sasa....
 
Mjomba wangu Nasaleno {Next Level lazima atakuwa anampata} binti yake alikuwa na tabia ya kulala uchi siku moja binti alikuwa anaota anaungua si akakurupuka usingizini anapiga mayowe anaungua akajilaza ukimbini Mjomba akajua mwizi akatoka full nondo Mkuki na tochi kubwa kucheki hivi binti yake mkubwa wa kwanza nusura azimie duh.
 
Kuna siku niliopoa dada mmoja kumbe nikikojozi dah si akanilazimisha nivue nguo zote nikalala naked na sio kawaida yangu naogopa popobawa au kuvamiwa usiku si mnajua tena yule dada alipojikojolea akanisogeza mm upande alipo lala yeye alafu yeye akahamia kukavu dah mm usiku kushtuka nikaona eheeeeee mambo yameharibika uliza nn kilichotea hapo....


Nini kilitokea???
 
hayo mambo ni saikolojia tu. akina mama wanaomba sana tu.

niwape mfano mmoja,

kuna jamaa yangu mmoja mkewe alikuwa jeuri sana hadi akampiga talaka. kwa sababu ya mtoto, jama hakumwondoa nyumbani mara moja bali alimtegea aondoke mwenyewe kwa hiyari yake na wakati wote alimpa mtaumizi kamili bila kukosa. haukupita muda yule bwana alimhurumia kwa kumwona hana raha, akamhakikishia kuwa kama hataondoka kwa hiyari yake, kamwe yeye hatamfukuzza na kumtaka aondoe mawazo, waheshimiane na kulea mtoto wao mpendwa. mama akaanza kupata amani moyoni, mume akajiona hana tena uhalali na wife kwani alishamkana. akapata nyumba ndogo, na wife akabaki kulea mtoto tu. yalipomshinda wife aliomba na anaendelea kuomba kila anapotaka na sasa ni mwaka wa pili na majuzi wamebarikiwa mtoto mwingine! wanmpenda na kumlea kwa furaha.

wasipokuambia habari yao, kamwe huwezi kujua kuwa wana talaka mikononi mwaao.

mpo hapo wana JF? ndoa zina mambo!!!!!!!!!
 
Hahahaha mzee aibu kumuuliza akasema mm nimejikojolea

ahahahhah we nawe utakuja beba wakujinyia kabisa!!!!!! sasa alipokwambia amejikojolea ukafanya??

off topic but somewhat related LOL..... hii imenikumbusha my sista alikuwa na maid kikojozi....sasa wakaenda likizo maid analala na binti ya sista anakojoa maskini mtoto akiamka yuko confused anamuuliza mamake' kwani mimi nilikojoa?????? kazi!!!!!
 
hayo mambo ni saikolojia tu. akina mama wanaomba sana tu.

niwape mfano mmoja,

kuna jamaa yangu mmoja mkewe alikuwa jeuri sana hadi akampiga talaka. kwa sababu ya mtoto, jama hakumwondoa nyumbani mara moja bali alimtegea aondoke mwenyewe kwa hiyari yake na wakati wote alimpa mtaumizi kamili bila kukosa. haukupita muda yule bwana alimhurumia kwa kumwona hana raha, akamhakikishia kuwa kama hataondoka kwa hiyari yake, kamwe yeye hatamfukuzza na kumtaka aondoe mawazo, waheshimiane na kulea mtoto wao mpendwa. mama akaanza kupata amani moyoni, mume akajiona hana tena uhalali na wife kwani alishamkana. akapata nyumba ndogo, na wife akabaki kulea mtoto tu. yalipomshinda wife aliomba na anaendelea kuomba kila anapotaka na sasa ni mwaka wa pili na majuzi wamebarikiwa mtoto mwingine! wanmpenda na kumlea kwa furaha.

wasipokuambia habari yao, kamwe huwezi kujua kuwa wana talaka mikononi mwaao.

mpo hapo wana JF? ndoa zina mambo!!!!!!!!!



duh!!! hii nayo mbona ndio mwisho wa mawazo??? ati anaomba???? naye bwana anakubali??? basi wazirevoke talaka basi!
 
hayo mambo ni saikolojia tu. akina mama wanaomba sana tu.

niwape mfano mmoja,

kuna jamaa yangu mmoja mkewe alikuwa jeuri sana hadi akampiga talaka. kwa sababu ya mtoto, jama hakumwondoa nyumbani mara moja bali alimtegea aondoke mwenyewe kwa hiyari yake na wakati wote alimpa mtaumizi kamili bila kukosa. haukupita muda yule bwana alimhurumia kwa kumwona hana raha, akamhakikishia kuwa kama hataondoka kwa hiyari yake, kamwe yeye hatamfukuzza na kumtaka aondoe mawazo, waheshimiane na kulea mtoto wao mpendwa. mama akaanza kupata amani moyoni, mume akajiona hana tena uhalali na wife kwani alishamkana. akapata nyumba ndogo, na wife akabaki kulea mtoto tu. yalipomshinda wife aliomba na anaendelea kuomba kila anapotaka na sasa ni mwaka wa pili na majuzi wamebarikiwa mtoto mwingine! wanmpenda na kumlea kwa furaha.

wasipokuambia habari yao, kamwe huwezi kujua kuwa wana talaka mikononi mwaao.

mpo hapo wana JF? ndoa zina mambo!!!!!!!!!
hii stori imekaa kama mchezo wa kihindi.
 
hayo mambo ni saikolojia tu. akina mama wanaomba sana tu.

niwape mfano mmoja,

kuna jamaa yangu mmoja mkewe alikuwa jeuri sana hadi akampiga talaka. kwa sababu ya mtoto, jama hakumwondoa nyumbani mara moja bali alimtegea aondoke mwenyewe kwa hiyari yake na wakati wote alimpa mtaumizi kamili bila kukosa. haukupita muda yule bwana alimhurumia kwa kumwona hana raha, akamhakikishia kuwa kama hataondoka kwa hiyari yake, kamwe yeye hatamfukuzza na kumtaka aondoe mawazo, waheshimiane na kulea mtoto wao mpendwa. mama akaanza kupata amani moyoni, mume akajiona hana tena uhalali na wife kwani alishamkana. akapata nyumba ndogo, na wife akabaki kulea mtoto tu. yalipomshinda wife aliomba na anaendelea kuomba kila anapotaka na sasa ni mwaka wa pili na majuzi wamebarikiwa mtoto mwingine! wanmpenda na kumlea kwa furaha.

wasipokuambia habari yao, kamwe huwezi kujua kuwa wana talaka mikononi mwaao.

mpo hapo wana JF? ndoa zina mambo!!!!!!!!!

jambo limezua jamabo kisanga hiki mmh
 
hii stori imekaa kama mchezo wa kihindi.

wala si mchezo wa kihindi au wowote mwingine wa kuigiza, ni kweli na ilitokea.

binafsi nawafahamu kwa karibu sana hata harusu yao niliwachangia na kuhudhuria, ilikuwa april 2006!

binadamu tumetofautiana sana. kwa kuwa hunishirikisha matatizo yao kwa ushauri, nilidiriki kumweleza mwanaume kuwa akimwacha huyo mama hataujakupata mwanamke bora zaidi ya huyo. naye sasa anaapa kutomwacha labda aondoke mwenyewe, hayo yote tisa, kumi anaapa kuwa ataendelea kuzaa nae hadi mwisho wa hesabu! na mama yuko tayari!
 
Hivi mwanamke akiwa wa kwanza kulianzisha kulonga men utamfill vipi,okey usiwe nshi sana ila wewe lianzishe tu maana chelewachelewa utamkuta mwana c wako,hawachelewi kubadilika hao wewe longa ujilie vyako mwanawane
 
wala si mchezo wa kihindi au wowote mwingine wa kuigiza, ni kweli na ilitokea.

binafsi nawafahamu kwa karibu sana hata harusu yao niliwachangia na kuhudhuria, ilikuwa april 2006!

binadamu tumetofautiana sana. kwa kuwa hunishirikisha matatizo yao kwa ushauri, nilidiriki kumweleza mwanaume kuwa akimwacha huyo mama hataujakupata mwanamke bora zaidi ya huyo. naye sasa anaapa kutomwacha labda aondoke mwenyewe, hayo yote tisa, kumi anaapa kuwa ataendelea kuzaa nae hadi mwisho wa hesabu! na mama yuko tayari!

tutakupa kura zetu. (makofi ,pah pah pah)
 
NI KITU GANI HUWA KINAKUSHANGAZA(au pengine unaona ni cha pekee) kwa MWENZI WAKO?----mapaja yake tu, am always dying there jamani, i cant explain, i dont think kama kuna siku nitakinai kushangaa haya mapaja+
 
NI KITU GANI HUWA KINAKUSHANGAZA(au pengine unaona ni cha pekee) kwa MWENZI WAKO?----mapaja yake tu, am always dying there jamani, i cant explain, i dont think kama kuna siku nitakinai kushangaa haya mapaja+


Details please, mapaja yana nini????? leo kazi ipo kweli hata haijaanza!!!!!
 
Details please, mapaja yana nini????? leo kazi ipo kweli hata haijaanza!!!!!
Jamani Shishi unataka nianike mapaja ya mwandani wangu yalivyo wapwa waanze kupiga chabo hapa. Aka! I cant explain more isije ikawa laaazizi wangu ni JF guest baadae nikakuta skin tight mpaka kwenye unyao. Mwe!
 
Jamani Shishi unataka nianike mapaja ya mwandani wangu yalivyo wapwa waanze kupiga chabo hapa. Aka! I cant explain more isije ikawa laaazizi wangu ni JF guest baadae nikakuta skin tight mpaka kwenye unyao. Mwe!


ahahahhahahah sipo upo kweli!!!!! mmmmm wacha niende lunch kwanza..... haya basi Ni PM angalau niache ku-imagine ahahahhahahhaha
 
Back
Top Bottom