NI KITU GANI HUWA KINAKUSHANGAZA(au pengine unaona ni cha pekee) kwa MWENZI WAKO?

NI KITU GANI HUWA KINAKUSHANGAZA(au pengine unaona ni cha pekee) kwa MWENZI WAKO?

ha ha ha!
sio lazima uwe dairekti!sisi tu wanajimu!tumesomea unajimu seminarini!we tumia njia walizotumia wenzako
nilibashiri kuanzia mwanzo kuhusu huu ugugumizi na mambo sasa naona yanaweza kuwa mazuri kama ni ngoma ya kucheza watupu unasubiri wenzako wavue ukivua,then ndo utoe za kwako.tutamwaga tu hata kwa njia zisizo rasmi,then wachambuzi watafanya kazi yao
 
BWASHEEE! Hiyo unaielewaje? Manake hawa watu wako klozi. Kuna tafsiri yoyote hapo? Hahaha!
hahahahahahahahahahahahahahahah!mpwa mpwaaaaaaa!ofisini wanahisi nimekuwa chizi kwa kucheka
 
du nimefika sehemu nashindwa kuelewa nini kina-continue .........
 
yaani wacha kunichekesha we.... eti nisikaone.....sio 'ka' ni 'ji'

BWASHEEEE! At last hii iko direct! Sasa inakuwaje hapo, washaweka pini au ndo umeshakubali kizazi kisogezwe kifuani. LOL! Dada mvumilivu wewe! Bila hii sredi tungejuaje? Hahahaha!
 
BWASHEEEE! At last hii iko direct! Sasa inakuwaje hapo, washaweka pini au ndo umeshakubali kizazi kisogezwe kifuani. LOL! Dada mvumilivu wewe! Bila hii sredi tungejuaje? Hahahaha!
he he he he!
mpwa hapo hata mimi niliachwa njia panda...(alitumia MAKLAURIANI SIRIIZ)
 
HA HA HA HA HA!
hii ni ze simplesti mesoodi i have never learned!ndoa zina vioja kweli kweli!NGULI TO FOLLOW!....
Tatizo Wapwa mna-prefer sana hizo ndoa zenu za kuvikana pete kwenye halaiki ya watu. Why all those troubles??
 
kinachoendelea nini wewe kumwaga,kumwaga nini? aulizwe Geoff alieanzisha hili balaa humu
HAHAHAHAHAHAHAH!
kumbe ni balaa!?zat iiz waay hata shemeji zd amecheki AKAYEYA
 
hata mimi namsubiri 'bht' kwa hamu sana, bestie wangu huyu lakini anateleza tu kwenye mada hii anakuwa kama moderator

BWASHEEEEE! Hii naona ni kama direct vile! Kwenye get tugeza nyingine nadhani tutafumbua hili fumbo la imani!
 
wengi kibao kazi kuchungulia tunaposti nini????? wabaniwe!
HA HA HA HA!nimeshawatumia warning letters,wakiendelea kukaa kimya tutawaanika hadharani yanayowashangaza!wakibisha zaidi nitawapa bani
 
BWASHEEEEE! Hii naona ni kama direct vile! Kwenye get tugeza nyingine nadhani tutafumbua hili fumbo la imani!
ha ha ha ha ha ha ha!
leo muzee UMEWASHIKA PABAYA!ngoja nimpigie kaizer tuone kama tunaweza kuweka kituo kinondoni tulijadili hili kwa mapana zaidi
 
hata hawa gesti sisi tunawaelewa tayari kinachowashangaza kwenye relations zao!😀
Kama yule wa Afrika Sana yule atakuwa anashangazwa na................au Mpwa hamkumuona siku ile pale wakati anatoa huduma.

Key
Huduma= kuhudumia vinywaji
 
Back
Top Bottom