dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,079
- 2,254
Swali limejieleza hapo juu! Katika tittle..
×××
Mimi mpaka leo sijui kwanini wanaume wana matiti
×××
Mimi mpaka leo sijui kwanini wanaume wana matiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
niliwategemea watu kama ninyiUnaandika na kujibu mwenyewe. Una changamoto ya afya ya akili.
Swali la kipuuzi..niliwategemea watu kama ninyi
mwanaume na mwanamke utofauti wa msingi upo kwenye jinsia, hata hivyo bado tunafanana kwa vitu vingi kama macho, mikono , miguu, kifua n.k tunafanana kwasababu sisi sote ni binadamu sawa ila jinsia tofauti, kwahiyo hoja ya manyonyo ni negative sana kwanini hujaulizia macho(mmh hujanielewa) pua, masikio n.k kwa kifupi binadamu tuna tofautiana kwa jinsia(jinsia ndo nini) tu na huu ndio utofauti wetu.
Na wewe ni degree holder??😀😀😀Swali limejieleza hapo juu! Katika tittle..
×××
Mimi mpaka leo sijui kwanini wanaume wana matiti
Mmmh sjaelewa lakn nahis umegonga skanga ,ebu pigwa kitu Cha barid sana hasa majiSwali limejieleza hapo juu! Katika tittle..
×××
Mimi mpaka leo sijui kwanini wanaume wana matiti